Niki wa pili vs Nikki Mbishi
Weusi coy vs Tamaduni Music
Mkuu hii beef ya Langa na na Fid Q mbona ndo kama naisikia hivi ilikuwaje kuwaje hii??
Inasemekana FID Q alitumia beat ya Langa bila ruhusa yake
Mkuu Hivi Ngwair na Fid Q walishawahi kuwa na beef!!! au ilikuwa ya kimya kimya sana??? hebu dadavua kidogo
Mkuu Hivi Ngwair na Fid Q walishawahi kuwa na beef!!! au ilikuwa ya kimya kimya sana??? hebu dadavua kidogo
Tafadhali bab...
Ivi jide na ray c haziivagi eeh? Maan sijawah kusikia wakiwa wote japokuwa waliwah kushirikiana kweny nyimbo moja iv
Hii ya Nikki wa pili na Nikki Mbishi Inawezekana ikawa ilisababishwa na jina la Nikki?? maana kuna nyimbo ya Nikki Mbishi anauliza iweje kuna Nikki wa Pili wakati Nikki wa kwanza hajulikani??
Nilisahau hii pia Izzo Business vs Roma Mkatoliki
Jay Moe kwenye nyimbo ya Jipange kuna line anasema "amani kaka voda milionea, mwambie mdogo wako aache poda ale mmea" akimchana Langa. Langa nae kwenye nyimbo yake ya Gangster kuna line anasema " amani kwa kaka voda milionea mwambie mo aache ushoga na umbea" kwenye nyimbo ambayo langa alitangaza kuacha poda sina uhakika na jina jina kifo, jela. Langa ananmstari "amani kwa kaka voda milionea, mwambie mo nishaacha poda na pia sili mmea"