Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 4,143
- 9,941
sio befoward tu kuna kampuni inaitwa janjapan ukiingia kwenye site yao bei kuweka ni ngumu ni kama wao uwacheki na kusema ofa yako alafu pili picha zao si nzuri na kama kuna tatizo au mapungufu hawa waziweki,pili ile document ya kukuonesha gari spection toka kwao sio kila gari.
ila kama ujawazoea na utaalamu lazima wakupige za uso wa mfungo mpaka pasaka
ila kama ujawazoea na utaalamu lazima wakupige za uso wa mfungo mpaka pasaka