Be Forward wamekuwa wajanja na waongo, magari yanaletwa mabovu

sio befoward tu kuna kampuni inaitwa janjapan ukiingia kwenye site yao bei kuweka ni ngumu ni kama wao uwacheki na kusema ofa yako alafu pili picha zao si nzuri na kama kuna tatizo au mapungufu hawa waziweki,pili ile document ya kukuonesha gari spection toka kwao sio kila gari.
ila kama ujawazoea na utaalamu lazima wakupige za uso wa mfungo mpaka pasaka
 
Gari mpaka kufika 26M, mbali ya ushuru. Ilipofika tu service kwenye yard ya Be Forward ilikwenda zaidi ya 250,000 maana TBS walikataa kurelease gari. Baada ya gari kutoka nimelipeleka gereji nyingi sana na nimetumia zaidi ya 10,000,000 kujaribu kulirepair lakini wapi. Mpaka nilinunua Gear Box mpay lakini wapi.!
Hilo gari litakuwa na Majini
 
Mitsubishi Outlander SUV 7 seaters unaizungumziaje mkuu?
Hii ni chuma ninayo ya 2008 wala sijutii kuwa nayo comfortability+durability inajitahidi.. six gear simulation huwezi ifananisha na tako la ngedere toleo la mwaka 2008!!

Nilinunua mwaka2022 hadi leo hii haijawahi niletea kwere.. safari ndefu nakwenda nayo mara nyingi karibu kwenye Mitsubishi outlander Mr Kolo (joke)
 
Hii ni chuma ninayo ya 2008 wala sijutii kuwa nayo comfortability+durability inajitahidi.. six gear simulation huwezi ifananisha na tako la ngedere toleo la mwaka 2008!!

Nilinunua mwaka2022 hadi leo hii haijawahi niletea kwere.. safari ndefu nakwenda nayo mara nyingi karibu kwenye Mitsubishi outlander Mr Kolo (joke)
Hii ni chuma aisee,ni SUV ya bei ya chini kuliko SUV zote..
 
Hii ni chuma ninayo ya 2008 wala sijutii kuwa nayo comfortability+durability inajitahidi.. six gear simulation huwezi ifananisha na tako la ngedere toleo la mwaka 2008!!

Nilinunua mwaka2022 hadi leo hii haijawahi niletea kwere.. safari ndefu nakwenda nayo mara nyingi karibu kwenye Mitsubishi outlander Mr Kolo (joke)
Basi baridi mtopolo,ngoja niendelee kuweka hesabu vizuri.
 
Basi baridi mtopolo,ngoja niendelee kuweka hesabu vizuri.
Fanya hivyo bwana ngada.. chuma iko vizuri cha muhimu cheki site tofauti tofauti ulinganishe bei. Mimi niliagiza kupitia autocom Japan. Shida ya hawa wanastock ndogo sana ya hizi gari, uzuri wao bei yao iko poa na msimu huu vile uchumi wa Japan umeyumba wanauza bei nafuu kiasi
 
Pole mno mtoa hoja kwa yaliyokufika,next time mkuu usihangaike kutafuta gari,panda Taqwa mpaka kwa Madiba,unaitafuta gari yako safi,unaitengeneza na una drive mwenyewe hadi Dar more than 3500km kutegemea umeinunulia wapi kule SA,kama ni kimeo haifiki huku,haya magari ya kuletwa na meli ni shida
 
Pole sana mkuu sikuhizi ushindani ni mkubwa sana sie wengine tumeamua kabisa kuwa na watu wetu japan kwa ajili ya kukagua gari moja kwa moja.

Pili kuna documents ulinyimwa iwe ni kwa kutokujua au kwa kujua na mwisho alphard kwa singapore mpka inafika dar inaweza kufikia mpka 22m au hata 18m sababu gari za kule nyingi ni low ended car mtu akiagiza gar singapore ana tofauti ndogo sana na aliyeagiza gari Zanzibar.

Mwisho kama ni mkazi wa dar ziko kampuni nyingi sana sku hizi zinauza magari hapa hapa dar kwa bei kama ya japan unakagua chuma yako unajiridhisha unatumia ipo alphard ofisini hapa mwaka 2007 ungekuwa na 25m tungekupa au kama utaongeza hela tuje ikagua hyo yako tuvunje uongeze hela tukupe hii
naomba kufahamu hizo kampuni za Japan zenye ofisi Dar
 
Pole sana mkuu sikuhizi ushindani ni mkubwa sana sie wengine tumeamua kabisa kuwa na watu wetu japan kwa ajili ya kukagua gari moja kwa moja.

Pili kuna documents ulinyimwa iwe ni kwa kutokujua au kwa kujua na mwisho alphard kwa singapore mpka inafika dar inaweza kufikia mpka 22m au hata 18m sababu gari za kule nyingi ni low ended car mtu akiagiza gar singapore ana tofauti ndogo sana na aliyeagiza gari Zanzibar.

Mwisho kama ni mkazi wa dar ziko kampuni nyingi sana sku hizi zinauza magari hapa hapa dar kwa bei kama ya japan unakagua chuma yako unajiridhisha unatumia ipo alphard ofisini hapa mwaka 2007 ungekuwa na 25m tungekupa au kama utaongeza hela tuje ikagua hyo yako tuvunje uongeze hela tukupe hii
Asante kwa ushauri mkuu, nitaufanyia kazi.
 
Gari za singapore ni kama kubeti. Nina washkj kadhaa wanalia gari za huko.

Sema zinatamanisha sana aisee, nna mwana ana rav 4 ya mwaka 2006 aisee ina body kit kali, mlango wa nyuma kama wa vanguard, ina sunroof na speed 260 (kwa shape nje ukiichek utadata). Halafu pia ni diesel na ni manual.

Ila since kaagiza limefika linamsumbua sana aise.

Ila kwa specs kama hizo ni ngumu kupata gari za japan

So watu wanakimbilia singapore ndo wanaliwa kichwa
 
Gari za singapore ni kama kubeti. Nina washkj kadhaa wanalia gari za huko.

Sema zinatamanisha sana aisee, nna mwana ana rav 4 ya mwaka 2006 aisee ina body kit kali, mlango wa nyuma kama wa vanguard, ina sunroof na speed 260 (kwa shape nje ukiichek utadata). Halafu pia ni diesel na ni manual.

Ila since kaagiza limefika linamsumbua sana aise.

Ila kwa specs kama hizo ni ngumu kupata gari za japan

So watu wanakimbilia singapore ndo wanaliwa kichwa
Ni kama bahati hivi kupitia huu uzi. Ningepata hypertension mwaka huu dadeki
 
Back
Top Bottom