Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Hawa ni wanzazibari ambao walikuwa wamekimbilia nchini Somalia mara baada ya machafuko visiwani humo na wakaamua kwenda kuishi Somalia toka 2001 hadi leo.Wanzanzibari hao wenye asili ya Pemba kwa idadi yao ni 21 wamepokelewa katika uwanja wa Karume na watatunzwa na UNHCR kwamiezi 4 na kuachwa wajitegemee.
Concern
Je Somalia ndio salama zaidi kuliko Zanzibar au Tanganyika?
Concern
Je Somalia ndio salama zaidi kuliko Zanzibar au Tanganyika?