BBC na Media za Magharibi wamekataa kuwaita watoto wa Kipalestina, watoto.

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,998
32,441
Wanaukumbi.

BBC inakataa kuwaita watoto wa Kipalestina, watoto.

BBC inakataa kuwaita watoto wa Kipalestina, mateka.

Inavyoonekana, ni wakoloni wakatili wa Ulaya, pekee walio na watoto, na Waisraeli pekee ndio wanaoweza kutazamwa kama mateka.

Hawa ni "wafungwa" wa Kipalestina wanaobadilishwa na mateka wa Israeli. Wao pia ni watoto. Watoto walichukuliwa majumbani mwao. Watoto ambao wanataka tu kukumbatia mama zao. Hawa ndiyo wavulana ambao vyombo vya habari vya Ulaya na Marekani hata heshima ya kuitwa watoto hawawezi kusema watoto hizi ndiyo propaganda za magharibi bahati nzuri sasa hivi kuna vyombo vya habari vingi dunia inaona
=========================
The BBC refuses to call Palestinian children, children.

The BBC refuses to call Palestinian children, hostages.

Apparently, only the brutal European colonizers have children, and only Israelis can be viewed as hostages.

These are the Palestinian “prisoners” being exchanged for Israeli hostages. They are also children. Children who were stolen from their homes. Children who just want to hug their mothers. These are the boys who the media won’t even afford the dignity of being called children.
 

Attachments

  • twidown.mp4
    1.9 MB
  • twidown.mp4
    5.2 MB
  • twidown.mp4
    1.2 MB
  • IMG_6762.jpeg
    IMG_6762.jpeg
    48.7 KB · Views: 3
Wanaukumbi.

BBC inakataa kuwaita watoto wa Kipalestina, watoto.

BBC inakataa kuwaita watoto wa Kipalestina, mateka.

Inavyoonekana, ni wakoloni wakatili wa Ulaya, pekee walio na watoto, na Waisraeli pekee ndio wanaoweza kutazamwa kama mateka.

Hawa ni "wafungwa" wa Kipalestina wanaobadilishwa na mateka wa Israeli. Wao pia ni watoto. Watoto walichukuliwa majumbani mwao. Watoto ambao wanataka tu kukumbatia mama zao. Hawa ndiyo wavulana ambao vyombo vya habari vya Ulaya na Marekani hata heshima ya kuitwa watoto hawawezi kusema watoto hizi ndiyo propaganda za magharibi bahati nzuri sasa hivi kuna vyombo vya habari vingi dunia inaona
=========================
The BBC refuses to call Palestinian children, children.

The BBC refuses to call Palestinian children, hostages.

Apparently, only the brutal European colonizers have children, and only Israelis can be viewed as hostages.

These are the Palestinian “prisoners” being exchanged for Israeli hostages. They are also children. Children who were stolen from their homes. Children who just want to hug their mothers. These are the boys who the media won’t even afford the dignity of being called children.

Tufanye wepesi mkuu Ritz utujalie link ya hii habari.

Shukrani in advance
 
Wanaukumbi.

BBC inakataa kuwaita watoto wa Kipalestina, watoto.

BBC inakataa kuwaita watoto wa Kipalestina, mateka.

Inavyoonekana, ni wakoloni wakatili wa Ulaya, pekee walio na watoto, na Waisraeli pekee ndio wanaoweza kutazamwa kama mateka.

Hawa ni "wafungwa" wa Kipalestina wanaobadilishwa na mateka wa Israeli. Wao pia ni watoto. Watoto walichukuliwa majumbani mwao. Watoto ambao wanataka tu kukumbatia mama zao. Hawa ndiyo wavulana ambao vyombo vya habari vya Ulaya na Marekani hata heshima ya kuitwa watoto hawawezi kusema watoto hizi ndiyo propaganda za magharibi bahati nzuri sasa hivi kuna vyombo vya habari vingi dunia inaona
=========================
The BBC refuses to call Palestinian children, children.

The BBC refuses to call Palestinian children, hostages.

Apparently, only the brutal European colonizers have children, and only Israelis can be viewed as hostages.

These are the Palestinian “prisoners” being exchanged for Israeli hostages. They are also children. Children who were stolen from their homes. Children who just want to hug their mothers. These are the boys who the media won’t even afford the dignity of being called children.

Inasikitisha sana:

IMG_1567.jpg
 
Israel hakunaga mtoto wa kipalestina wa miaka 12 ila wa kiisraeli. Kama huo siyo ushweitwani kazini, ni nini?
Mashariki ya Kati miaka 12 ni Kijana tofauti na huko kwenu Machame lidada la miaka 17 ni Mtoto 😂

Au mvulana wa miaka 17 ni Mtoto Kazi yake kulisha Nguruwe na kuwasafishia banda
 
...sio hivyo tu, wamekataa kuviita vita hivyo, ni vya baina ya waisraeli na wapalestin!.

Wamepachika ni vita vya israeli na 'gaza'
Gaza ndio kina nani?

it is gut wrenching na
Inasikitisha sana.
Yaleyale ya Russia na ukraine, Russia anadai hii siyo vita bali operation maalum ya kijeshi!
 
Mashariki ya Kati miaka 12 ni Kijana tofauti na huko kwenu Machame lidada la miaka 17 ni Mtoto 😂

Au mvulana wa miaka 17 ni Mtoto Kazi yake kulisha Nguruwe na kuwasafishia banda
.
Paroko asiyekuwa na chembe ya huruma na binadamu mwenziwe haiyumkiniki atakuwa ni wa Ile dini nyingine ambako sadaka ni pamoja na nyama na damu za watu.
 
Unaelewa tofauti ya Mfungwa na Mateka?
These are the Palestinian “prisoners” being exchanged for Israeli hostages. They are also children. Children who were stolen from their homes. Children who just want to hug their mothers. These are the boys who the media won’t even afford the dignity of being called children.
 
Wanaukumbi.

BBC inakataa kuwaita watoto wa Kipalestina, watoto.

BBC inakataa kuwaita watoto wa Kipalestina, mateka.

Inavyoonekana, ni wakoloni wakatili wa Ulaya, pekee walio na watoto, na Waisraeli pekee ndio wanaoweza kutazamwa kama mateka.

Hawa ni "wafungwa" wa Kipalestina wanaobadilishwa na mateka wa Israeli. Wao pia ni watoto. Watoto walichukuliwa majumbani mwao. Watoto ambao wanataka tu kukumbatia mama zao. Hawa ndiyo wavulana ambao vyombo vya habari vya Ulaya na Marekani hata heshima ya kuitwa watoto hawawezi kusema watoto hizi ndiyo propaganda za magharibi bahati nzuri sasa hivi kuna vyombo vya habari vingi dunia inaona
=========================
The BBC refuses to call Palestinian children, children.

The BBC refuses to call Palestinian children, hostages.

Apparently, only the brutal European colonizers have children, and only Israelis can be viewed as hostages.

These are the Palestinian “prisoners” being exchanged for Israeli hostages. They are also children. Children who were stolen from their homes. Children who just want to hug their mothers. These are the boys who the media won’t even afford the dignity of being called children.
Wazungu wanaibika
 
Back
Top Bottom