BBA 2: Mtanzania ashinda!

Big brother ni ujinga mtupu. Nimeiona huku ulaya....underclass ndio mashabiki wakuu.

Ningependa kuweka hili suala clear,

Ninavyoelewa mimi, Big Brother is all about watu wa different background, culture, age, sex, wanawekwa pamoja na kuishi kulingana na culture zao na malezi waliolelewa, then watazamaji wanapiga kura kwa kumtoa yule ambaye wandhani hajaonesha ''culture nzuri'' utaratibu huo unaendelea hadi mshindi anapopatikana.

Kumpenda mtu na hata kufikia hatua ya kufanya mapenzi ni sehemu ya culture za zetu, how do you approach, how do you treat him or her thereafter,how do you eat, smartness, inteligency, n.k so that is part of the game. Na ni lazima waoneshe kila kitu ili kuweza kufanya sound judgement kwamba kweli huyu haifai au yule anafaa.

Waandaaji wanarespect kura na maoni ya watazamaji. So kama aliyefanya ngono zaidi ndio kashinda means watazamaji ndio wapenda ngono zaidi kuliko mshiriki ndio maana amewakuna hadi kufikia kumtangaza mshindi. Hayo ndio maoni yangu
 
Bowwow,

Heshima mbele mkuu kwa ufafanuzi wako, mimi binafsi siajwahi kuangalia hata siku moja this kind of entertainment, maana muda sina kabisa lakini ninashukuru kwa ufafanuzi wako now I get it maana ya hii nonesense,

Lakini nainaiheshimu kwa kuweza kuwaweka watu wazima chini kwa masaaa, wengine huwa bongo hata kazini hawaendi ili waangalie hii kitu, na hongera zaidi kwa
Richie!
 
Hongera Richard...

Big Brother is a dirty game show, you have played dirty and WON...it's about time wabongo tuache kuwa Sorry and cry cry everywhere.

Watanzania need to face to the real ugly world of live televison.
 
Hongera Richard...

Big Brother is a dirty game show, you have played dirty and WON...it's about time wabongo tuache kuwa Sorry and cry cry everywhere.

Watanzania need to face to the real ugly world of live televison.


There you are Yeboyebo, every game in this world is dirty in its deeply hidden details, be it football, poker, tennis, boxing and the like. There are hidden filthy things in many games, so I am not amazed to hear some of JF members promulgate that BBA II was an insane and filthy game, simpy because of drunkenness and adultery of some of its inmates.
Who else in purely clean in this world? What type of money is clean in this stinking rotten earth?
Let's argue!
 
...... Sasa pia kuna Idol. Sijui hii nayo imeshaingia Afrika?
....

Najua kuna jibu umeshapata kuhusu 'Bongo Star Search', hata hivyo kuna nyingine pia inaongozwa na BBC, sijui kama ime hit headlines vya kutosha.... Tafadhali soma yafuatayo, Tanzania imehusishwa:

BBC world talent search launches


The BBC's search to uncover the best undiscovered musical talent in the world is returning this month.
The Next Big Thing 2007, on BBC World Service and BBC World television, is the second year for the show which looks for exciting new music, bands and performers who will shape the future.

This year, the under-18s restriction has been lifted - anyone can enter and it is completely free.

Last year's winner, Silva, went on to have a number one hit in her home country Armenia and played the Hollywood Bowl in Los Angeles.

Entries came from thousands of musicians from over 40 countries.

This year, BBC World Service will be joined by BBC World Television in the search for the Next Big Thing.

All-star jury

Entries will be accepted through the BBC World Service site and a page on the social networking site MySpace.

The Next Big Thing will also be out on the road with local events in Mumbai in India, Kingston in Jamaica, Dar es Salaam in Tanzania and Istanbul in Turkey.

Head of the jury, music producer William Orbit, returns to judge the 2007 version.


Alongside him is a selected panel of international music experts including Caspar Llewellyn-Smith, editor of The Observer Music Monthly, Will Hodgkinson, music journalist for Mojo and The Guardian, and Paul Stokes, Features Editor of the New Musical Express.
The two essential rules are that artists must be unsigned and perform their own original material.

The closing date for entries is 18 November 2007.

Finalists will be brought to London to perform before an all-star jury in December.

The winning act will be crowned The Next Big Thing 2007 and will perform in front of a live audience of 3,000 people at London's O2 arena as part of the celebrations for BBC World Service's 75th Anniversary in December, alongside some of the big names in music.

Source: BBC.co.uk

SteveD.
 
KWANZA KABISA NATOA HONGERA KWA RICHARD KWA KUSHINDA BBA2!!

PILI, NAOMBA KUULIZA WANAJF KAMA KUNA MAKATO YA KODI YOYOTE YA HIZO HELA ZA ZAWADI ALIZOPATA RICHARD AKIWASILI TANZANIA.

KAMA IPO; JE, NI KODI IPI ITAKUWA NA MAZINGIRA YAKE (UTATA AU MANUFAA)?!


AHSANTENI.

SteveD.
 
Hongera kwa ushindi Richard. Natumaini tutajifunza mengi kutokana na ushindi huu.
 
pelekeni huu upuuzi kwenye BURUDANI ! naona JF kuna zero tolerance kwenye baadhi ya threads, ifanyieni kazi na hii pia ! toeni hapa bana !

i dont smell politiksi yoyote !
 
Upuuzi wa kiaga kila kitu kutoka ulaya ndio umetufikisha hapa. Niliwahi kulieleza hili kabla na kutabiri kuwa atashinda na atapokewa kama shujaa eti kapeperusha bendera ya Tanzania vilivyo ughaibuni! haya sasa here we are tusubiri musululu ya magari aiport na na waheshimiwa kwenda kumpokea shujaa.

Watu wa CCM wata hijack the whole thing na litakuwa political.

Ukweli lazima usemwe japokuwa ameshinda Mtanzania, mchezo ni mchafu na unaharibu tamaduni zetu waafrika. Mambo ya ngono japokuwa yapo lakini huwa yanafanyika kwenye sehemu faragha.
 
nimeona almost asilimia 90 ya watu wanaunga mkono hii kitu (angalau jamaa vumbi litamtoka usoni ) lakini in the long run sidhani kama utamaduni wetu na lifestyle will ever be the same, halafu hapo hapo tunapiga vita ukimwi !

hehheee, hiki sasa kichekesho !
 
KWANZA KABISA NATOA HONGERA KWA RICHARD KWA KUSHINDA BBA2!!

PILI, NAOMBA KUULIZA WANAJF KAMA KUNA MAKATO YA KODI YOYOTE YA HIZO HELA ZA ZAWADI ALIZOPATA RICHARD AKIWASILI TANZANIA.

KAMA IPO; JE, NI KODI IPI ITAKUWA NA MAZINGIRA YAKE (UTATA AU MANUFAA)?!


AHSANTENI.

SteveD.

Mkuu sikupenda kuchangia hii madakwani nilikuwa mojawapo wa watu waliokania huu mchezo kuenyeshwa live hasa wakati hata watoto wadogo wanaangalia.

http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=5903

weto tunapenda pesa na kwa hiyo hapa wote tunafanya kazi usiku na mchana kupata pesa. Tatizo ni kuwa hizo pesa zinapatikana kwa nnjia gani. Nyingine kwa njia ya kubeba mabox, nyingine kwa ufisadi na nyingine kwa kuonyesha uchi kama hivi alivyofanya mshindi Richard. Nampa hongera kwa kushinda kwani alijitahidi sana kuonyesha prurivate parts zake na inaitaji ujasiri na akili isiyo ya kawaida kufanya vile.


Tuachane na hayo, tukija kwenye swala la msingi kabisa la kodi. Mimi nadhani haya ni mapato kama mapato mengine, ni kama mshara, ni kama pesa ya wacheza kamari ni kipato kama kipato kingine. Naamini kuwa anahitaji kukatwa income tax sijui kwa tanzania ni kiasi gani ila ni haki yake kukatwa kodi ya mapato.

Hofu yangu ni kuwa wanasiasa wanaweza wakachukulia huo ushindi kama nafasi yao ya kuwasahaulisha watanzania matatizo yao. Utashangaa atapokelewa na hata viongozi wa serikali, ataitwa hata ikulu, ataitwa Bungeni Dodoma kupata pongezi kwa kuitangaza Tanzania.

Ujinga, kuitangaza tanzania kwa kuonyesha uchi na Umaarufu wa ngono? Sasa kama Richard atakuwa role model ya nani? hivi kweli watoto wanaweza kukuzwa vipaji kwa staili ya bigi brother?

http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=5903
 
Welcome to the real world, haitakiwi i-make sense ndio maana hai-make sense. It's a big nasty world out there, TV zimejaa upuuzi na sie kina nanilii kazi yetu ni kuiga na kukumbatia kila ujinga.........it's a matter of good spinning, kama CCM wataweza ku-spin hii kwa advantage yao, so be!!. Kwani wao SISIEMU ndio wameshika hatamu, unadhani Raisi Mbowe na chama chake (CHADEMA) wangefanyaje??. Thubutu!, to your surprise labda wangemvurumishia lile "Humvee" lao kwa mapokezi. Wabongo wengi wana-glorify sana ujinga,ufisadi na ufuska, ndio maana wakina sie tunaona maadili ya kijamii ni fair kupigiwa yengele ktk mapambano haya ya kifkra .Ktk mazingira ya kawaida "reality shows" huwa hazina winners bali multiple victims wanaozidiana u-victim. Richard ni victim ambaye ni $$100,000 richer!!. Vinginevyo hongera mingi kaka, invest hiyo mipesa kwenye elimu!. Cheerz!!!.
 
Mkuu admin,

Naomba ufafanuzi kidogo. Hii mada inahusu siasa kweli?

Maana siku hizi kuna mtindo mtu akitaka jambo lake lisomwe na wengi analileta kwenye siasa hata kama halihusiani moja kwa moja.

Kwa maoni yangu hii topic ipelekwe kwenye Burudani.
 
Itabidi ampunguzie Tatiana kiasi kidogo. Alionyesha upendo mkubwa kwa kurisk kupigiwa kura yeye kuliko kumtosa Rich!
 
NakuliliaTanzania,

Kumbuka: Mfamaji...?

Huu ni mchezo kama michezo mingine. Kwa ambaye hakujua unachezwaje anaweza akalaumu lakini the way ulivyotambulishwa tangu awali ulieleweka kabisa na mwenye kutaka kutoona washiriki wakioga walikuwa wanampa namna ya ku-scramble channel husika.

Nigeria katika walioulizwa maswali juu ya nani atashinda ni mmoja tu alomuunga mkono raia mwenzao. Watanzania WOTE waliohojiwa wameonesha kuridhika nae.

Ni mmoja katika Tanzania ambaye ni Salama wa Channel 5 alimponda LIVE kwenye mahojiano ya awali. Hivi angeenda yeye ingekuwaje???[/QUOTE]

Tatiana angekuwa demu wake yeye. huyo kazi yake kuponda tu na ku discourage halafu anaonaga yeye yuko right kwenye kila kitu.
 
Hongera saana Richard,Umeitangaza Tanzania.

Tulianza na Mwampamba,pamoja na vituko alivyoonyesha,Ulevi wa kupindukia lakini bado alifanikiwa kupata nafasi ya Pili.

Akaja Richard,Mbali na mambo mengine,alionyesha umahiri mkubwa kwenye swala zima la ngono na Akawa mshindi wa BBA 2 2007.

Nafikiri ushindi wa hawa wawili utakuwa chachu ya ushiriki wa waTZ wengi kwenye mashindano yajayo,na wakati huo hatujui watakuja na staili gani ya kuchochea ushindi wao.

Hoja yangu;Ukiacha umaarufu na mshiko mkubwa unaotolewa kwa washindi,Jamii yetu inajambo la kujifunza kutoka BBA?
 
HONGERA SANA RICHARD,

Wana JF hebu kwanza tuache kuwa wanafki, kwenye ile stread ya BIG BROTHER AFRICA: WHAT A WASTE mnakumbuka mlivyomtukana kijana wa watu kwa kusema anaiga utamaduni wa kizungu, anakaa uchi, anajidhalilisha na mengine mengi.

watu waliochangia mada ile ni wachache sana walimuunga mkono na kuonyesha kijana yupo katika kutafuta hela kutokana na ugumu wa ajira ktk nchi yetu ya wadanganyika.. sasa leo Kijana ameshinda na ameitanganza nchi yetu ya wadanganyika na asilimia kubwa mnampa hongera kama sio unafki ni nini????? endeleeni kuona anajidhalilisha.

Najua hiyo jumatano uwanja wa ndege utafurika watu kwenda kumpokea na wengine ni kati ya wale wale waliokuwa wakimponda na kumtukana.

I'm out.
 
I hope hakuna msafara wa mawaziri utakao enda kumpokea, sababu itakuwa ni kusababisha traffic barabarani for no reason
 
Back
Top Bottom