Bazazi

Bazazi: mtu atumiaye hila, udanganyifu laghai, pwagu, mzandiki, mwongo, mnafiki.
Fataki: kipande kidogo cha shaba kinachotiwa baruti na kilichomo ndani ya risasi

Hakuna uhusiano wa kisemantiki baina ya maneno haya mawili, lakini kimatumizi, neno fataki tunaweza kulifananisha na bazazi kama mtu "baruti/risasi": mwepesi wa kukwepa, wa kulipua na kupenya; na mwenye kasi na ufundi wa maneno.

Kisemantiki havina uhusiano ila katika pragmantiki vinaweza kuendana kwani maana ya neno utaipata kwa kuangalia matumizi yake hivyo basi fataki inaweza kufanana
 
Habari zenu people,

Mi nina swali tu, hivi Bazazi manaake nini? nakunatofauti gani kati ya Bazazi na Fataki?

Bazazi ni
  1. Mwanaume rijali anayejua kuwa yeye ni mwanaume
  2. Ni Nyamaume anayejua kuwa amezaliwa kwa ajili ya wanawake
  3. Wanawake kwa kuwa wamezaliwa kwa ajili ya nyamaume humpapatikia
  4. Kwa vile yu kwa ajili ya wanawake hujua njia bora za kuwatosheleza katika mahitaji yao ya kike

Fataki ni mwanaume asiyejiamini anayetumia udhaifu wa wanawake hasa wasichana kwa faida zake za kingono.

Ndimi Bazazi ninayesema.

Bazazi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom