Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 2,896
- 4,311
Wanajamii Forum habari
Mguu wangu umeteguka naombeni ushauri nitumie dawa gani kama huduma ya kwanza, manaake nahisi maumivu makali sana nashindwa hata kukanyaga chini.
Msaada wenu ndgu zangu
Mguu wangu umeteguka naombeni ushauri nitumie dawa gani kama huduma ya kwanza, manaake nahisi maumivu makali sana nashindwa hata kukanyaga chini.
Msaada wenu ndgu zangu