Scolari Ndenga
JF-Expert Member
- Aug 4, 2008
- 271
- 43
Ile mechi kali ya BAVICHA na SHIBUDA ndani ya CHADEMA imeishia wapi?
Je kikao cha BAVICHA tulichoambiwa kilikaa kumjadili huyu mtu kiliamua nini?
Tuliambiwa kikao hicho kilikua chini ya Katibu Mkuu wa BAVICHA Ndugu MUNISHI, kwa nini mpaka leo hajatoa majibu ya hicho kikao kwa umma kwani umma uliandaliwa kupokea majibu ya hicho kikao?
Na vipi tofauti za HECHE na Makamu wake zimeishia wapi?
Nakumbushia tu kwa kua bado tunahitaji majibu juu ya SHIBUDA.
Je kikao cha BAVICHA tulichoambiwa kilikaa kumjadili huyu mtu kiliamua nini?
Tuliambiwa kikao hicho kilikua chini ya Katibu Mkuu wa BAVICHA Ndugu MUNISHI, kwa nini mpaka leo hajatoa majibu ya hicho kikao kwa umma kwani umma uliandaliwa kupokea majibu ya hicho kikao?
Na vipi tofauti za HECHE na Makamu wake zimeishia wapi?
Nakumbushia tu kwa kua bado tunahitaji majibu juu ya SHIBUDA.