kama mnaijua tabia yake hiyo ilikuwaje mumpigie debe na kumpa kura!!!!! Sasa siri yenu ndio inaanza kutoka taratibu......,kumbe munalazimisha viongozi bomu halafu mnatudanganya kuwa wako safi!!! Aibu gani hii!!!
Nimepigiwa simu sasa hivi na mtu aliyepo Manispaa Arusha mjini anasema Batilda anakataa katakata kusaini fomu ya matokeo...Wakazi wa Arusha kwa ujumla wao wamezunguka ofisi hizo na wamejaa sana na kufunga barabara zote, hapapitiki kabisa kwa usafiri wa magari!
Nafuatilia zaidi.
Sasa kibao kimegeuka. Hakuna jinsi inabidi akubali tu.Hao si ndo walikuwa wa kwanza kusema wapinzani wakubali matokeo sasa vipi tena kwao?
Lazima walinywe, maana washalikoroga