Basi la LEINA TOURS Kufika Kahama saa 12:00 Jioni kutokea DSM je ni halali?

, mind you UK, wamebadili speed limits zao ku accomodate maendeleo, kwa sasa lori ni 95km/h na basi ni115 km/ h kama sikosei

Very wrong sir, niko UK na ni dereva wa miaka mingi, as far as I know speed limit haijabadilishwa. Maximum kwenye motorway kwa mabasi na malori ya chini ya tani 7.5 ni 70km/ph kama ilivyo kwa magari ya kawaida, lori likiwa kubwa zaidi ya hiyo 7.5 max yake ni 60km/ph. Hapa tunazungumzia nchi ambayo ina miundo mbinu mizuri, sehemu nyingi ni tambarare, hakuna kona za ajabu ajabu wala milima, most of their road hasa kwenye motorways zimenyooka, lanes 4 hadi 5 upande mmoja tu, kuna taa barabarani usiku, etc na kupata leseni hapa ni mbinde, watu wanafanya mitihani hata mara 10, hadi ufaulu practical na theory ndo unapata leseni, hakuna longo longo. Pamoja na haya yote, bado wameona hivyo ndio viwango safe vya speed.

Ukija nyumbani, kuruhusu basi litembee hata kwa mwendo wa 100 km/ph tu ni kuruhusu majanga. Una madereva kibao wanaotumia leseni za kufoji au za kununua kwa hongo na hawajasomea kabisa udereva, wamejifunza kiujanja ujanja tu, madereva wengine wakiwa njiani wanawaachia makonda wawasaidie kuendesha, dereva mmoja anaendesha gari mwenyewe for more than 10 hours, hapa mtu anapiga masaa yake 4-5 anashuka, anaingia mwingine. Matumizi ya vilevi hasa pombe, bangi na miraa ni vitu vya kawaida sana kwa madereva na polisi wetu ni mara chache sana kuwashtukia, not sure hata kama wana vifaa vya kutest hizi mambo. Na konakona zetu na mamilima, think of msambiazi (korogwe-mombo) au kitonga (iringa-mbeya), kama huna uzoefu na unakanyaga mafuta tu- lazima utaua watu. Pia kuna head on collisions nyingi kutokana na wembamba wa barabara zetu.

Kwa maoni yangu binafsi hata hii 100 inayotumika sasa ingepunguzwa tu, tumeshapoteza watu wengi sana kwa haya maajali jamani, utashabikia speed tu kama hujawahi kupoteza rafiki au ndugu kwa mambo haya.
 
Hii Bus nitapanda nione!ajari zinatokea pale dereva akishindwa kumudu gari
 
Sikatai unavyosema watz ni vigeugeu hasa inapotokea ajali! Lakini inawezekana pia wamekua mis led na term' speed ' na hakuna mtu anaesaidia kuelezea hasa mwendokasi mkali ni upi!!!,
Speed equals distance over time , to the best of my physics, hata 10km/h ni speed!, Nadhani ni wakati muafaka kwa mwenye ufahamu wa safe speed in kilometer per hour atujuze .

Speed ambayo inashauriwa kutembelea, ambapo tukio la ghafla likitokea ni rahisi kulimudu ni 80km/hr. Standard zinasema gari likiwa 100km/hr litasima baada ya Mita70 ukifunga breki
 
Ajari ikitokea, nyote mnaoshabikia mnaanza kulalamikia speed za madreva. Yaani hii tz imejaa vigeugeu na vinafiki vingiiiiiiiii mpaka vinakera.
watanganyika wanafiki sana,leo eti wanalalamika kupewa siku ya mapumziko,haohao ukienda maofisini siku za kazi unakuta hawapo siku nzima wapo lunch.

Yani ni mijitu inayopenda kupata loophole ili yalalamike...siku tukipata train za mwendokasi za kutumia masaa mawili mpaka isaka tena watalalamika.
 
Very wrong sir, niko UK na ni dereva wa miaka mingi, as far as I know speed limit haijabadilishwa. Maximum kwenye motorway kwa mabasi na malori ya chini ya tani 7.5 ni 70km/ph kama ilivyo kwa magari ya kawaida, lori likiwa kubwa zaidi ya hiyo 7.5 max yake ni 60km/ph. Hapa tunazungumzia nchi ambayo ina miundo mbinu mizuri, sehemu nyingi ni tambarare, hakuna kona za ajabu ajabu wala milima, most of their road hasa kwenye motorways zimenyooka, lanes 4 hadi 5 upande mmoja tu, kuna taa barabarani usiku, etc na kupata leseni hapa ni mbinde, watu wanafanya mitihani hata mara 10, hadi ufaulu practical na theory ndo unapata leseni, hakuna longo longo. Pamoja na haya yote, bado wameona hivyo ndio viwango safe vya speed.

Ukija nyumbani, kuruhusu basi litembee hata kwa mwendo wa 100 km/ph tu ni kuruhusu majanga. Una madereva kibao wanaotumia leseni za kufoji au za kununua kwa hongo na hawajasomea kabisa udereva, wamejifunza kiujanja ujanja tu, madereva wengine wakiwa njiani wanawaachia makonda wawasaidie kuendesha, dereva mmoja anaendesha gari mwenyewe for more than 10 hours, hapa mtu anapiga masaa yake 4-5 anashuka, anaingia mwingine. Matumizi ya vilevi hasa pombe, bangi na miraa ni vitu vya kawaida sana kwa madereva na polisi wetu ni mara chache sana kuwashtukia, not sure hata kama wana vifaa vya kutest hizi mambo. Na konakona zetu na mamilima, think of msambiazi (korogwe-mombo) au kitonga (iringa-mbeya), kama huna uzoefu na unakanyaga mafuta tu- lazima utaua watu. Pia kuna head on collisions nyingi kutokana na wembamba wa barabara zetu.

Kwa maoni yangu binafsi hata hii 100 inayotumika sasa ingepunguzwa tu, tumeshapoteza watu wengi sana kwa haya maajali jamani, utashabikia speed tu kama hujawahi kupoteza rafiki au ndugu kwa mambo haya.

Asante Mr. Kana Ka Nsugu (Umwelu) kwa mawazo mazuri!
 
acha kabisaa kuna siku nilipanda leina tulifika singida saa 9 ikabid wapak sehem kuvuta muda hadi saa kumi ndo tukaingia stendi, kaham tulifa saa moja na 10 stend kabisa, ila jamaa wanatembea na wanajali muda.
 
Hiyo bus inatisha, naijua vema. Kahama yapaswa kuingia saa mbili, Mwanza saa nne.

Pale Tinde gari zote zapaswa kufika kuanzia saa moja usiku.
 
High speed kills yes!!!
nadhani tujipe challenge kwanza kabla ya kulalamikia mwendo!! Mwendokasi mkali ni upi hasa? 100, 120, au 160 km/ h?

Dar,kahama kuna umbali wa kilometa 980 kama basi hilo limetoka dar saa kumi na mbili na kufika huko saa kumi na mbili basi wastani wa mwendokasi wake kwa safari yote ni 81 km/h , je tunahitaji kusafiri kwa chini ya wastani huo? Lets say 60km/ h? Hivi tutaweza ku catch up na hii dunia kama tunatumia muda mwingi safarini kuliko kufanya kazi? , mind you UK, wamebadili speed limits zao ku accomodate maendeleo, kwa sasa lori ni 95km/h na basi ni115 km/ h kama sikosei

Hiyo leina, Allys , musoma ex, luwinzo, tunaita Scania F330 series ,very popular kwa nguvu na mwendo , originally specified to be bus kutoka sweden , idea behind ni kuwa na shorter journey times
Hata kama limit itakuwa ni 40km/h bado ajali zitatusumbua, kama bado tunaendelea kulifumbia macho suala la miundo mbinu.

Ilo bus
 
Very wrong sir, niko UK na ni dereva wa miaka mingi, as far as I know speed limit haijabadilishwa. Maximum kwenye motorway kwa mabasi na malori ya chini ya tani 7.5 ni 70km/ph kama ilivyo kwa magari ya kawaida, lori likiwa kubwa zaidi ya hiyo 7.5 max yake ni 60km/ph. Hapa tunazungumzia nchi ambayo ina miundo mbinu mizuri, sehemu nyingi ni tambarare, hakuna kona za ajabu ajabu wala milima, most of their road hasa kwenye motorways zimenyooka, lanes 4 hadi 5 upande mmoja tu, kuna taa barabarani usiku, etc na kupata leseni hapa ni mbinde, watu wanafanya mitihani hata mara 10, hadi ufaulu practical na theory ndo unapata leseni, hakuna longo longo. Pamoja na haya yote, bado wameona hivyo ndio viwango safe vya speed.

Ukija nyumbani, kuruhusu basi litembee hata kwa mwendo wa 100 km/ph tu ni kuruhusu majanga. Una madereva kibao wanaotumia leseni za kufoji au za kununua kwa hongo na hawajasomea kabisa udereva, wamejifunza kiujanja ujanja tu, madereva wengine wakiwa njiani wanawaachia makonda wawasaidie kuendesha, dereva mmoja anaendesha gari mwenyewe for more than 10 hours, hapa mtu anapiga masaa yake 4-5 anashuka, anaingia mwingine. Matumizi ya vilevi hasa pombe, bangi na miraa ni vitu vya kawaida sana kwa madereva na polisi wetu ni mara chache sana kuwashtukia, not sure hata kama wana vifaa vya kutest hizi mambo. Na konakona zetu na mamilima, think of msambiazi (korogwe-mombo) au kitonga (iringa-mbeya), kama huna uzoefu na unakanyaga mafuta tu- lazima utaua watu. Pia kuna head on collisions nyingi kutokana na wembamba wa barabara zetu.

Kwa maoni yangu binafsi hata hii 100 inayotumika sasa ingepunguzwa tu, tumeshapoteza watu wengi sana kwa haya maajali jamani, utashabikia speed tu kama hujawahi kupoteza rafiki au ndugu kwa mambo haya.

Asante kwa kutufahamisha maana walishaanza kutudanganya.
 
Basi la Kampuni ya Leina Tours lifanyalo safari ya DSM-Kahama jana lilivunja rekodi ya Kufika Kahama stendi saa 12:00 jioni. Tena nasikia liliingia Hapo Kahama saa 10:00jioni dereva akaamua kulipaki sehemu itwayo PHANTOM ilikuvuta muda. Hivi huo mwendo waliokuwa wanatembea nao ulikuaje huko njiani? Ila nasikia Dereva alikamatwa na Polisi hiyo jana kwa Mahojiano zaidi hapo Kahama.
SOURCE: Mdau Toka Kahama kwenye FB page yake.

alah! kumbe inawezekana kufika mapema kiasi hicho, nashauri serikali iruhusu ili kuepuka utekwaji wa mabasi. Waliotengeneza magari hawakuweka speed kubwa kwa bahati mbaya walijua zinahitajika kutokana na umahiri wa dereva.
 
Acheni ujinga huyo dereva amevunja sheria za usalama barabarani.kutoka dar mpaka kahama kuna alama nyingi za kumuelekeza drive speed mfano 30 kph 50kph sehemu za vijiji na mjini.kwa Mwendo huo inatakiwa driver afutiwe leseni pia abiria wa siku hiyo wakapimwe akili watakua wanamatatizo
 
Very wrong sir, niko UK na ni dereva wa miaka mingi, as far as I know speed limit haijabadilishwa. Maximum kwenye motorway kwa mabasi na malori ya chini ya tani 7.5 ni 70km/ph kama ilivyo kwa magari ya kawaida, lori likiwa kubwa zaidi ya hiyo 7.5 max yake ni 60km/ph. Hapa tunazungumzia nchi ambayo ina miundo mbinu mizuri, sehemu nyingi ni tambarare, hakuna kona za ajabu ajabu wala milima, most of their road hasa kwenye motorways zimenyooka, lanes 4 hadi 5 upande mmoja tu, kuna taa barabarani usiku, etc na kupata leseni hapa ni mbinde, watu wanafanya mitihani hata mara 10, hadi ufaulu practical na theory ndo unapata leseni, hakuna longo longo. Pamoja na haya yote, bado wameona hivyo ndio viwango safe vya speed.

Ukija nyumbani, kuruhusu basi litembee hata kwa mwendo wa 100 km/ph tu ni kuruhusu majanga. Una madereva kibao wanaotumia leseni za kufoji au za kununua kwa hongo na hawajasomea kabisa udereva, wamejifunza kiujanja ujanja tu, madereva wengine wakiwa njiani wanawaachia makonda wawasaidie kuendesha, dereva mmoja anaendesha gari mwenyewe for more than 10 hours, hapa mtu anapiga masaa yake 4-5 anashuka, anaingia mwingine. Matumizi ya vilevi hasa pombe, bangi na miraa ni vitu vya kawaida sana kwa madereva na polisi wetu ni mara chache sana kuwashtukia, not sure hata kama wana vifaa vya kutest hizi mambo. Na konakona zetu na mamilima, think of msambiazi (korogwe-mombo) au kitonga (iringa-mbeya), kama huna uzoefu na unakanyaga mafuta tu- lazima utaua watu. Pia kuna head on collisions nyingi kutokana na wembamba wa barabara zetu.

Kwa maoni yangu binafsi hata hii 100 inayotumika sasa ingepunguzwa tu, tumeshapoteza watu wengi sana kwa haya maajali jamani, utashabikia speed tu kama hujawahi kupoteza rafiki au ndugu kwa mambo haya.

Asante kwa kunikosoa !!! Lakini kwa manufaa ya jamvi jarbu kufanya homework zako vizuri kabla ya kukurupuka ku post...
Binasfi sijawahi kukaa Uk, kama wewe mwenzangu ila umenisikitisha jinsi usivyofatilia mambo , no wonder hatuendelei kwa sababu nilitegemea watu wenye exposure ya kutosha kama wewe waje na maoni mazuri ili tuboreshe Tanzania yetu !!!

Ni hivi figures na category za magari ulizotoa ziko sahihi sana , tatizo umejichanganya kwenye vipimo.. uingereza wanatumia miles per hour , 60 limit unayozungumzia iko katika miles per hour , ni zaidi ya 90km/ h huku kwetu.. niliwahi kuendesha lori moja ambalo limetoka uk , lilikuwa lina speed limit ya 55 mph na ilikuwa ukifika 90km/h linakata mafuta .. katika mantiki hiyo hiyo gari dogo speed limit ni 70mph ambayo ni kama 113 km/h.
Mkuu challenge ni namna ya kusafiri salama barabarani kwa kujenga barabara zisizo na matuta na zenye kiwango na alama za kutosha ,hii ya kupunguza spidi ni temporary politic tactic ndo maana haifanikiwi ,
Oops nilitaka kuasahau UK ,wameogeza speed limit hilo halina ubishi!! jaribu ku google utajua !! Mi nipo huku namayere
 
Back
Top Bottom