kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
hii stori mbona ipo kama imechonwa vile. muda wote ufuatiliwe halafu ushindwe kutoa taarifa polisi. ina maana Bashe hana contact za watu ambao wangeweza kujua hiyo noah wakati anaelekea kwake. maanake isije ikawa ni alibi ya kutaka huruma ya watu. lazima hii taarifa tuipokee kwa tahadhari kubwa. la mwisho kwani Bashe yeye mbaya wake si mmoja tuu na anamfahamu na alikwishamtaja kule Dodoma labda angempigia simu na kumuuliza vipi mzee.
Unazungumzia Polisi ipi mkuu ambayo angetoa taarifa? angefanya hivyo ndo kwanza angewarahisishia kazi kwa walichozidhamiria.