akherakwanza
New Member
- Jun 19, 2020
- 4
- 6
Mimi ni mtumishi wa ummah ajira za 2022. Mpaka sasa tumeshafikisha mwaka kazini na bado hatujapewa barua za kuthibitishwa. Kuna fursa nyingi zinatokea ila barua ukifatilia unaambiwa bado msubiri.
Kwamfano hapa karibuni lilitokea shavu TIE na chuo kimoja hivi nilipata nafasi ya kuhamia kwenda kuwa "tutorial assistant" lakini nimekwama kwasababu ya barua hiyo, hata sijui nafanyaje kuipata.
Labda mwenye kujua njia mbadala ndugu wananzengo
Kwamfano hapa karibuni lilitokea shavu TIE na chuo kimoja hivi nilipata nafasi ya kuhamia kwenda kuwa "tutorial assistant" lakini nimekwama kwasababu ya barua hiyo, hata sijui nafanyaje kuipata.
Labda mwenye kujua njia mbadala ndugu wananzengo