Barua ya Waislamu kwa Katibu Mkuu wa CCM Kupinga Mahakama ya Kadhi...

Status
Not open for further replies.
Mkuu Mkandara, Hoja zinapokuja kijumlajumla hujibiwa kijumlajumla vile vile! Kwa mfano Wakristo wanapoambiwa kuwa wanakula kitimoto ili hali baadhi yao hawali (eg Wasabato), Waislamu nao huambiwa hawajasoma na ni watu wa kulalamika tu! Ukweli nionavyo mimi sio Waislamu wote ambao hawajasoma! Wapo maprofesa waliobobea kama akina Issa Shivji, Safari, nk. Kwa hiyo kama pande zote mbili zingekuwa zinajadili mambo kwa kutumia isolated incidences tusingefika huko! Kwa hiyo ukileta hoja za jumla dhidi ya Dini nyingine utegemee majibu ya jumla! Pia umenishangaza sana unapokuwa na makengeza kiasi kwamba huoni matusi tunayoporomoshewa sisi Wakristo! Kwa hiyo Mkristo yeyote akisoma hoja zako zilizokuwa biased naye atatoa hoja zilizokuwa biased, mwisho wa siku utadai kuwa HATUKO PAMOJA! Wewe unachangia kwenye juhudi za kutaka TUSIWE PAMOJA kisha mwisho wa siku unadai tuko pamoja kivipi! Pamoja na hayo Wakristo wamekewa wanawa-criticise akina Mkapa, Lowassa, nk hapa JF, hatujaona wakikingiwa kifua kwa sababu ya Ukristo wao! Mtikila pamoja na wachungaji waliojihusisha na DECI wamefikishwa mahakamani, Wakristo wameacha Sheria ichukue mkondo wake. Kwa upande wa baadhi ya Waislamu hali ni tofauti! Kwanza waliochoma makanisa tuliambiwa kuwa ni "wahuni!" Kisha "wahuni" hao walikamatwa tuliona CUF ilivyofanya juhudi kubwa ya kuwatetea "wahuni!" Mpaka sasa hatuelewi kwa nini baadhi ya Waislamu hao wametuchomea Makanisa yetu moto na mbaya sana kutuibia vifaa vya Kanisa! Utani wa watoto ulichukuliwa kama ugomvi wa Wakristo na Waislamu! Suala la Muungano kule Zanzibar limechukuliwa kuwa ni la "kikanisa" zaidi! Hatujui baadaye litaibuka lipi! Kuhusu Zitto, akiona CDM hawamkubali dawa si kuibua hoja ya kidini, aende Chama ambacho anaona kinamfaa! It is strange kuwatuhumu watu hawakupendi ili wakupende! Just like Mwakyembe alipodai Serikali inataka kumuua huku akiendelea kuwa kwenye Serikali hiyo hiyo! Tena anapoweka hoja hizi dhaifu anazidi kujimaliza kisiasa zaidi! Wewe endelea tu kumchimbia shimo! Nawasilisha!
Mkuu wangu usitake kunichehesha miye weee. sasa swala la kitimoto linahusiana vipi na Ukristu. Ni wapi imehalalishwa au unachukua mfano huu kwa maana kwamba kula kitimoto ni tusi kwa Mkristu?.. mbona sikuelewi? kitimoto chakula iweje liwe swala la Ukristu!..yaani leo hii miye nikimwambia mkristu kwamba anakula kitimoto itakuwa namtukana hata kama miye ndio namuuzia kitimoto chenyewe.. aaah mkuu wangu tafadhali, Mphililino ana kula mbwa na huwezi kusema ni tusi kwake bali sifa ya chakula chake ukitaka nawe onja!.

Haya mambie hoja yangu ilokuwa Biased? maana tunapozungumzia chombo kilichoundwa na watu tena Watanzania walokaa na kuuziana mali ya Taifa inakuwaje iwe swala la Ukristu?. Nielewe vizuri nachosema miye, zile shule na Hospital zilikuwa za Mjarumani au kanisa sio mali ya wakristu na wala watanzania hawakumiliki mali zile. That is the fact na ndio maana Nyerere alizitaifisha. Na hata ukirudi ktk swala la shule na Hospital za Aghakhan hazikuwa za waislaam bali za Aghakhan ambaye alitoa huduma za elimu na Afya nchini na zilipotaifishwa zilitaifishwa toka kwa AghaKhan sio kwa waislaam..That is the Fact, achana na habari za kina Mohammed Said..

Hivyo kama kesho Aghakhan akirudishiwa shule mimi hapa siwezi kusimama na kudai ati waislaam wamerudishiwa shule zao. Huu utakuwa ujinga kwangu maana huyo Aghakhan ataendesha biashara yake ya kutoa ELIMU na AFYA na hatakuwa anatufanyia hisani Waislaam hata kidogo, bali ni biashara kwake na katarget market ya biashara zake kwa waislaam ama kutumia Uislaam. Huyu hana tofauti na Wachina au wakorea huku majuu hawa ndio utawakuta wakifungua maduka na kuuza vitu vya watu weusi na kutuita - BROTHER! we are same same brothers.. Think large, lini Mimi Mtanzania mweusi nikawa na Ukaka na Mchina au Mkorea?...
 
Mimi nashindwa kuelewa,hivi mahakama hii itawahusu wanaume wa Kiislam tu au ni pamoja na wanawake wa Kiislam? nauliza hivi kwa sababu sijasikia hata siku moja ametokea mwanmke wa Kiislam kuunga mkono hii mahakama.Are they interested with this?mahakama hii itawasaidiaje wanawake wa Kiislam?au itawakandamiza ndo maana hawaishabikii?Hebu Waislam wanaume mtujuze.
 
11. Hujaribu kutoa hata mifano ya Serikali ya Uingereza kwamba mwaka 1920 iliweka Mahakama hizo, ukweli ni kwamba Serikali ya Uingereza haikuweka Mahakama za Kadhi tu bali za Maakida na Maliwali, lakini pia sababu ya kuziweka Mahakama hizo siyo kwa ajili ya kuutunza Uislamu au uliwali bali ilikuwa ni mbinu ya kuwatuliza Viongozi hao ili waweze kuwatawala bila vurugu kwani mkoloni aligundua kuwa ni watu wenye ushawishi katika jamii kwa hiyo ile ilikuwa ni mbinu ya kiutawala ili Masheikhe, Maliwali na Maakida wajione kuwa na wao ni sehemu ya Serikali ya Muingereza, kumbe ni watawaliwa, hivyo bado hoja hiyo haina msingi wowote wala haina maana kwamba Serikali ya Mkoloni ilikuwa nzuri kwa Waislamu kuliko hii ya CCM, na huku tukiambiwa kuwa Waislamu ndiyo walioanzisha harakati za kudai Uhuru, kama walikuwa wazuri kwa nini tuliwaondoa.
Ama hakika wewe ni mdau wa Historia na hiki ndo kinachotusumbua mpaka leo. Kila uchao tunalilia mambo ya kidini tuuuuuuuu na kusahau wajibu wa maendeleo. Wenzetu walianza na dini, wakaona inawazingua, wakaingia kwenye enlightenment kisha renaissance na baadaye industrial revolution leo wametutawala hata kwa mawazo ya kutunza ndoa zetu, jinsi ya kuhusiana na rafiki yako wa kike/kiume tunaiga iga tu kila kitu.. Nachukia sana hali hii kaka.
Hii issue ya kuweka DINI za mapokeo mbele huwa naichukia sana sana sana nainanikera mno. Tufikirie tunaifanyia nini Tanzania bali si tunaufanyia nini UKRISTO (ustaarabu wa magharibi) na Uislam (ustaarabu wa Kiarabu). Havina tija ndugu zanguni, tutamalizana tu wenyewe kwa wenyewe.
Hizi nguvu bora watumie kuhamasisha watu tupambane na wezi wa raslimali zetu (mafisadi, walarushwa na wahujumu uchumi).
 
Mimi nashindwa kuelewa,hivi mahakama hii itawahusu wanaume wa Kiislam tu au ni pamoja na wanawake wa Kiislam? nauliza hivi kwa sababu sijasikia hata siku moja ametokea mwanmke wa Kiislam kuunga mkono hii mahakama.Are they interested with this?mahakama hii itawasaidiaje wanawake wa Kiislam?au itawakandamiza ndo maana hawaishabikii?Hebu Waislam wanaume mtujuze.

fanyeni yenu mbona mnapenda sana kuingilia mambo ya waislam, mahakama ya kadhi ni upotevu wa pesa za serikali ila mou ni nn?
 
fanyeni yenu mbona mnapenda sana kuingilia mambo ya waislam, mahakama ya kadhi ni upotevu wa pesa za serikali ila mou ni nn?

Waislamu ndio wanapenda kuingilia mambo ya watu wengine, bila aibu wanataka Wakristo wawaanzishie Mahakama za Kadhi na kuwaendeshea hiyo ibada yao! Sasa kama sio uchokozi ni nini? Hata hivyo nawapongeza baadhi yao kukataa hii biashara ya Kadhi!
 
Mzee natofautiana na wewe, Zito anapoungwa mkono huwa hajabadili imani yake, lakini bado anaungwa mkono! Kwasababu ya complement tu. atalaumiwa anapoonekana amekwenda astray! Swala la imani yake linaingiaje? Hapo ju umeandika akiwasilisha hoja wanayo ipenda wanasema "ooh Zito wetu", kumbuka anakuwa na imani yake ileile, ambayo unadai kuwa wanaichukia.
Mkuu wangu, swala la Zitto kubadilisha imani yake ya dini halipo ktk uwakilishi wa hoja zenu maana hata hapa nawaona mnawapongeza Aswal Sunni kwani nao wamebadili imani zao? mnawapongeza japo hamuwapendi waislaam, na wao n waislaam vile vile na issue kubwa kwenu ni kutowapa uhuru wa kuabudu.. Hii ni tabia ya wanafiki siku zote maana hawako consistent hubadilika kama vinyonga ktk mawindo yao ama kujikinga kiimani..

Nimeuliza vizuri tu ikiwa mnawatukana waislaam kiasi hiki na hao hao waislaam wako Chadema hivi kweli tuko Pamoja ama mnawaona wao kama mzigo ndani ya chama chenu maana hawakusoma na wajinga. Na ikiwa waislaam ni wajinga ina maana Zitto ni mmoja wao, miye mmoja wao sasa kuna ukweli mwingine hapa unajitokeza. Komeni hizi habari za kuingilia Uislaam ilhali nyie sio waumini na hamuelewi umuhimu wa ibada zao isipokuwa kwa tafsiri ya imani zenu..
Mbona miye simchukii kiasi hicho japokuwa ktk makosa yote ya Zitto miye nilikuwa na naendelea kuwa mtu wa kwanza kutofautiana naye KIMTAZAMO...
 
Nimependa sana hoja za ustadhi jinsi alivyoziweka kwa kuangalia maslahi ya nchi na kuepusha udini, ameweka sawasawa kisu kwenye mfupa! Tatizo langu kwake ninalo liona ni kulifanya tamko kuwa msaada kwa ccm. Inawezekana kwa kuwa ccm ndio waliweka mahakama ya kadhi kwenye ilani yao lakini alipaswa kwenda mbali zaidi kwa kuangalia mustakabali mzima wa nchi na usawa kwenye vyama vyote kwa kuhakikisha kuwa udini hauwi sehemu ya kampeni.
 
mh aloandika hio barua ni muislam sio muumin wa kislam hawatup tabu watu kama Hao.... wapo kimaslah Yao
 
My take:
1. Inawezekana CCM walifanya u-turn kuhusu Mahakama za Kadhi baada ya Barua hii.
2. Sura halisi ya CUF na Kauli mbiu yake ya "Haki Sawa Kwa Wote" imeanikwa na barua hii!!

Suala la mahakama ya kaadhi lina utata.waislam wanataka serikali iunde mahakama ya kaadhi jambo ambalo kwa tanzania litatuletea mgogoro kwa mujibu wa katiba yetu.lakini hadi sasa serikali inatambua mahakama ya kaadhi.kwa sababu inatambua uwepo wa dini na uhuru wa kuabudu.kinachofanywa na ansar sunna sasa kama wanavyofanya duniani kote kutaka kufanya chokocho. dhehebu hili lilianzishwa na mi5 miaka hiyo kwa dhamira ya kuupunguza nguvu uislam.chimbuko la ansar sunna ni wahabiism.ambao ni waarabu wenye asili ya kiyahudi kaskazini mwa nchi ya saudia.ambako walishawishiwa na uingereza kuupindua ukoo wa mfalme hussein waliokuwa watawala wa saudi arabia wakati huo.mfalme hussein alikuwa ni kizazi cha mtume mohammad.mpaka sasa saudia inatumia fedha nyingi kuleta chokochoko kwenye nchi nyingi za kiislam ikisaidiwa na amerika na uingereza.saudi arabia ni mfadhili wa vikundi vyote ambavyo ni radical hapa duniani.na vikundi hivi lengo ni kufanya iuslam ni dini mbaya yenye chokochoko na wauaji.na always hupingana na seikali zilizoko madarakani hata kama serikali hizo ni za kiislam.jambo la kujiuliza mbona seikali za kifalme katika nchi za kiislam hazipingwi na hao radical.isipokuwa baharain ambako inapingwa na dhehebu la shia na sababu ya msingi ya upinazani wa shia ni kwamba wametengwa katika serikali ya baharain.
 
Mkuu wangu usitake kunichehesha miye weee. sasa swala la kitimoto linahusiana vipi na Ukristu. Ni wapi imehalalishwa au unachukua mfano huu kwa maana kwamba kula kitimoto ni tusi kwa Mkristu?.. mbona sikuelewi? kitimoto chakula iweje liwe swala la Ukristu!..yaani leo hii miye nikimwambia mkristu kwamba anakula kitimoto itakuwa namtukana hata kama miye ndio namuuzia kitimoto chenyewe.. aaah mkuu wangu tafadhali, Mphililino ana kula mbwa na huwezi kusema ni tusi kwake bali sifa ya chakula chake ukitaka nawe onja!.

Haya mambie hoja yangu ilokuwa Biased? maana tunapozungumzia chombo kilichoundwa na watu tena Watanzania walokaa na kuuziana mali ya Taifa inakuwaje iwe swala la Ukristu?. Nielewe vizuri nachosema miye, zile shule na Hospital zilikuwa za Mjarumani au kanisa sio mali ya wakristu na wala watanzania hawakumiliki mali zile. That is the fact na ndio maana Nyerere alizitaifisha. Na hata ukirudi ktk swala la shule na Hospital za Aghakhan hazikuwa za waislaam bali za Aghakhan ambaye alitoa huduma za elimu na Afya nchini na zilipotaifishwa zilitaifishwa toka kwa AghaKhan sio kwa waislaam..That is the Fact, achana na habari za kina Mohammed Said..

Hivyo kama kesho Aghakhan akirudishiwa shule mimi hapa siwezi kusimama na kudai ati waislaam wamerudishiwa shule zao. Huu utakuwa ujinga kwangu maana huyo Aghakhan ataendesha biashara yake ya kutoa ELIMU na AFYA na hatakuwa anatufanyia hisani Waislaam hata kidogo, bali ni biashara kwake na katarget market ya biashara zake kwa waislaam ama kutumia Uislaam. Huyu hana tofauti na Wachina au wakorea huku majuu hawa ndio utawakuta wakifungua maduka na kuuza vitu vya watu weusi na kutuita - BROTHER! we are same same brothers.. Think large, lini Mimi Mtanzania mweusi nikawa na Ukaka na Mchina au Mkorea?...

Ndugu acha uwongo na upotoshaji, shule, hospitali na makanisa havikuwa mali ya serikali ya kikoloni bali vilikuwa mali za taasisi za dini/dhehebu husika, na kwa taarifa yako vilijengwa na wamishenari na si serikali ya kikoloni. Serikali ya kikoloni ilijenga miundombinu mingine mbalimbali, wakati wa ukoloni serikali ilikuwa haihusiki na uendeshaji wa hizo shule wala hospitali bali taasisi zilizoanzisha.
Kwa mfano kuna shule na hospitali zikizokuwa chini ya taasisi ya kidini ya Roman Catholic ambayo asili yake ni Italy, je tulishawahi kutawaliwa na mtaliano? Au wataliano waliijengea serikali ya kikoloni ya mjerumani!? Mbona mkoloni alipoondoka serikali ya kizalendo haikusema imetaifisha, mali, majengo, ofisi, miundombinu,magari n.k vilivyokuwa mali ya serikali ya kikoloni bali ilirithi na inakuwaje ilipokuja kwenye mali za taasisi za dini likatumika neno 'taifisha'? Jibu lake ni kwa sababu hazikuwa mali za serikali ya mkoloni.
Mathalani zingekuwa ni mali za serikali ya kikoloni na wakati wanaondoka wakaamua kuwapa wakristo, je kungekuwa na tatizo!? Au ingefanana na jinsi mkapa alivyogawa chuo cha tanesco kule kidatu morogoro kuwapa waislam na sasa ni chuo cha waislam (MUM) Muslim University of Morogoro na wakristo hawalalamiki wapo kimyaa!
 
Cc MZIMU, kabla hamjaunda mahakama yenu wenzenu tayari wanawapinga huku tena kwa hoja zisizo za kilevi
 
Last edited by a moderator:
waislamu ndio wanapenda kuingilia mambo ya watu wengine, bila aibu wanataka wakristo wawaanzishie mahakama za kadhi na kuwaendeshea hiyo ibada yao! Sasa kama sio uchokozi ni nini? Hata hivyo nawapongeza baadhi yao kukataa hii biashara ya kadhi!

kweli kabisa
 
11. Hujaribu kutoa hata mifano ya Serikali ya Uingereza kwamba mwaka 1920 iliweka Mahakama hizo, ukweli ni kwamba Serikali ya Uingereza haikuweka Mahakama za Kadhi tu bali za Maakida na Maliwali, lakini pia sababu ya kuziweka Mahakama hizo siyo kwa ajili ya kuutunza Uislamu au uliwali bali ilikuwa ni mbinu ya kuwatuliza Viongozi hao ili waweze kuwatawala bila vurugu kwani mkoloni aligundua kuwa ni watu wenye ushawishi katika jamii kwa hiyo ile ilikuwa ni mbinu ya kiutawala ili Masheikhe, Maliwali na Maakida wajione kuwa na wao ni sehemu ya Serikali ya Muingereza, kumbe ni watawaliwa, hivyo bado hoja hiyo haina msingi wowote wala haina maana kwamba Serikali ya Mkoloni ilikuwa nzuri kwa Waislamu kuliko hii ya CCM, na huku tukiambiwa kuwa Waislamu ndiyo walioanzisha harakati za kudai Uhuru, kama walikuwa wazuri kwa nini tuliwaondoa.
Ama hakika wewe ni mdau wa Historia na hiki ndo kinachotusumbua mpaka leo. Kila uchao tunalilia mambo ya kidini tuuuuuuuu na kusahau wajibu wa maendeleo. Wenzetu walianza na dini, wakaona inawazingua, wakaingia kwenye enlightenment kisha renaissance na baadaye industrial revolution leo wametutawala hata kwa mawazo ya kutunza ndoa zetu, jinsi ya kuhusiana na rafiki yako wa kike/kiume tunaiga iga tu kila kitu.. Nachukia sana hali hii kaka.
Hii issue ya kuweka DINI za mapokeo mbele huwa naichukia sana sana sana nainanikera mno. Tufikirie tunaifanyia nini Tanzania bali si tunaufanyia nini UKRISTO (ustaarabu wa magharibi) na Uislam (ustaarabu wa Kiarabu). Havina tija ndugu zanguni, tutamalizana tu wenyewe kwa wenyewe.
Hizi nguvu bora watumie kuhamasisha watu tupambane na wezi wa raslimali zetu (mafisadi, walarushwa na wahujumu uchumi).

Wewe huujui uislamu wala uaarabu, haiwi na wala haitokuwa Uislamu eti ni ustaarabu wa kiarabu!! Soma na utafiti wacha kutazama mambo juu juu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom