makwegaFMM
Member
- May 25, 2020
- 35
- 55
Siku zote Waislam tunatakiwa tusimame upande wa haki.Nani alikuambia wapelestina ni waislam au wayahudi ni wakristo
Soma historia Ustadhat
Wapalestina sio waislam na wala hawaamini kama wewe unavyoamini story za quran
Wayahudi sio wakristo na wala hawaamini maneno ya bibilia
Wapelestina wana tamaduni zao za kuabudi hazifanani kiimani na kimatendo na uislam
Wayahudi wana abudi tofauti kabisa na ukristo unavyoamini
Hao hawapiganii mambo ya dini,Pande zote kuna raia wanaofanana kwa kila kitu ,Wameoana na kuzaliana
Hayo mahekalu ya al aqsa ni ya kwao wote ,Waliyajenga wenyewe kwa mikono ya mababu zao
Ukisikia mtu anasema wayahudi ni wakristo ana shida kichwani
Ukisikia mtu anasema wapelestina ni waislam ana shida kichwani
Imesemwa upande wa HAKI haijasemwa upande wa WAISLAMU.
Wewe ukiwa Jaji au Shahidi Muislamu unapohukumu au kutoa ushahidi, angalia haki iko upande gani bila kujali dini yako na anaehukumiwa au kutolewa ushahidi.