Barua ya mzazi kwa mwanae

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,904
Mwanangu mpenzi siku ukiona nimezeeka naomba uvute subira na kunivumilia ila zaidi ya yote jitahidi kuelewa ninachopitia.

Ikiwa tunapozungumza, narudia jambo lile lile mara elfu moja, usinikatishe na kusema: "Ulisema jambo lile lile dakika moja iliyopita"... Sikiliza tu, tafadhali. Jaribu kukumbuka nyakati ambazo ulikuwa mdogo nilipokuwa nakusomea hadithi ileile usiku baada ya usiku hadi ungelala.

Wakati sitaki kuoga, usikasirike na usinitie aibu. Je! unakumbuka nilipolazimika kukukimbiza baada ya wewe kutoa visingizio vingi vya kukufanya usioge ulipokuwa kijana mdogo tu?

Ukiona jinsi nilivyo mjinga linapokuja suala la teknolojia mpya nipe muda wa kujifunza na usiniangalie hivyo... kumbuka mpenzi nilikufundisha kwa uvumilivu jinsi ya kufanya mambo mengi kama kula ipasavyo, kuvaa, kuchana nywele na kushughulika na maswala ya maisha kila siku... siku ukiona ninazeeka, nakuomba uwe na subira, lakini zaidi ya yote, jaribu kuelewa ninachopitia.

Ikiwa mara kwa mara nikikosa kufuatilia kile tunachozungumzia, nipe muda wa kukumbuka, na kama siwezi, usiwe na woga, papara au kiburi. Jua tu moyoni mwako kwamba jambo muhimu zaidi kwangu ni kuwa na wewe.

Na wakati miguu yangu mizee, iliyochoka isiniruhusu nisitembee haraka kama hapo awali, nipe mkono wako kama vile nilivyokupa wangu ulipotembea mara ya kwanza.

Siku hizo zikifika, usijisikie huzuni...

kuwa nami tu, na unielewe

huku nikifika mwisho wa maisha yangu kwa upendo.

Nitathamini na kukushukuru kwa zawadi ya wakati na furaha tuliyoshiriki. Kwa tabasamu kubwa na upendo mkubwa ambao nimekuwa nao kwako kila wakati, nataka tu kusema, nakupenda ... Mwanangu kipenzi."

Mjoli wenu Jr

a9a5d33338b9b0b7aa4e6a3f7e140731.jpg
 
Nitathamini na kukushukuru kwa zawadi ya wakati na furaha tuliyoshiriki. Kwa tabasamu kubwa na upendo mkubwa ambao nimekuwa nao kwako kila wakati, nataka tu kusema, nakupenda ... Mwanangu kipenzi."
a9a5d33338b9b0b7aa4e6a3f7e140731.jpg
 
Mwanangu mpenzi siku ukiona nimezeeka naomba uvute subira na kunivumilia ila zaidi ya yote jitahidi kuelewa ninachopitia.

Ikiwa tunapozungumza, narudia jambo lile lile mara elfu moja, usinikatishe na kusema: "Ulisema jambo lile lile dakika moja iliyopita"... Sikiliza tu, tafadhali. Jaribu kukumbuka nyakati ambazo ulikuwa mdogo nilipokuwa nakusomea hadithi ileile usiku baada ya usiku hadi ungelala.

Wakati sitaki kuoga, usikasirike na usinitie aibu. Je! unakumbuka nilipolazimika kukukimbiza baada ya wewe kutoa visingizio vingi vya kukufanya usioge ulipokuwa kijana mdogo tu?

Ukiona jinsi nilivyo mjinga linapokuja suala la teknolojia mpya nipe muda wa kujifunza na usiniangalie hivyo... kumbuka mpenzi nilikufundisha kwa uvumilivu jinsi ya kufanya mambo mengi kama kula ipasavyo, kuvaa, kuchana nywele na kushughulika na maswala ya maisha kila siku... siku ukiona ninazeeka, nakuomba uwe na subira, lakini zaidi ya yote, jaribu kuelewa ninachopitia.

Ikiwa mara kwa mara nikikosa kufuatilia kile tunachozungumzia, nipe muda wa kukumbuka, na kama siwezi, usiwe na woga, papara au kiburi. Jua tu moyoni mwako kwamba jambo muhimu zaidi kwangu ni kuwa na wewe.

Na wakati miguu yangu mizee, iliyochoka isiniruhusu nisitembee haraka kama hapo awali, nipe mkono wako kama vile nilivyokupa wangu ulipotembea mara ya kwanza.

Siku hizo zikifika, usijisikie huzuni...

kuwa nami tu, na unielewe

huku nikifika mwisho wa maisha yangu kwa upendo.

Nitathamini na kukushukuru kwa zawadi ya wakati na furaha tuliyoshiriki. Kwa tabasamu kubwa na upendo mkubwa ambao nimekuwa nao kwako kila wakati, nataka tu kusema, nakupenda ... Mwanangu kipenzi."

Mjoli wenu " target="_blank" class="link link--external" data-proxy-href="/proxy.php?link=http%3A%2F%2FJr%5Bemoji769%5D&hash=612da71b7ee1c2c33f96a4186d20d2ce" rel="nofollow ugc noopener">JrView attachment 2733294
Hakika ni hakika Jana,Leo, kesho na hata MILELE na MILELE

AMEN
 
Mwanangu mpenzi siku ukiona nimezeeka naomba uvute subira na kunivumilia ila zaidi ya yote jitahidi kuelewa ninachopitia.

Ikiwa tunapozungumza, narudia jambo lile lile mara elfu moja, usinikatishe na kusema: "Ulisema jambo lile lile dakika moja iliyopita"... Sikiliza tu, tafadhali. Jaribu kukumbuka nyakati ambazo ulikuwa mdogo nilipokuwa nakusomea hadithi ileile usiku baada ya usiku hadi ungelala.

Wakati sitaki kuoga, usikasirike na usinitie aibu. Je! unakumbuka nilipolazimika kukukimbiza baada ya wewe kutoa visingizio vingi vya kukufanya usioge ulipokuwa kijana mdogo tu?

Ukiona jinsi nilivyo mjinga linapokuja suala la teknolojia mpya nipe muda wa kujifunza na usiniangalie hivyo... kumbuka mpenzi nilikufundisha kwa uvumilivu jinsi ya kufanya mambo mengi kama kula ipasavyo, kuvaa, kuchana nywele na kushughulika na maswala ya maisha kila siku... siku ukiona ninazeeka, nakuomba uwe na subira, lakini zaidi ya yote, jaribu kuelewa ninachopitia.

Ikiwa mara kwa mara nikikosa kufuatilia kile tunachozungumzia, nipe muda wa kukumbuka, na kama siwezi, usiwe na woga, papara au kiburi. Jua tu moyoni mwako kwamba jambo muhimu zaidi kwangu ni kuwa na wewe.

Na wakati miguu yangu mizee, iliyochoka isiniruhusu nisitembee haraka kama hapo awali, nipe mkono wako kama vile nilivyokupa wangu ulipotembea mara ya kwanza.

Siku hizo zikifika, usijisikie huzuni...

kuwa nami tu, na unielewe

huku nikifika mwisho wa maisha yangu kwa upendo.

Nitathamini na kukushukuru kwa zawadi ya wakati na furaha tuliyoshiriki. Kwa tabasamu kubwa na upendo mkubwa ambao nimekuwa nao kwako kila wakati, nataka tu kusema, nakupenda ... Mwanangu kipenzi."

Mjoli wenu " target="_blank" class="link link--external" data-proxy-href="/proxy.php?link=http%3A%2F%2FJr%5Bemoji769%5D&hash=612da71b7ee1c2c33f96a4186d20d2ce" rel="nofollow ugc noopener">JrView attachment 2733294
Ahsante kwa ujumbe mwema.

Kuna mipoyoyo ya JF itaanza kukubishia.

Weka credit ulipoitowa. Kuwa na "courtesy. Mimi naamini 100% hii ni kopi & pesti.
 
Ahsante kwa ujumbe mwema.

Kuna mipoyoyo ya JF itaanza kukubishia.

Weka credit ulipoitowa. Kuwa na "courtesy. Mimi naamini 100% hii ni kopi & pesti.
Ulivyo wa hovyo na mpuuzi baada ya kuitafuta Google uniumbue na upoyoyo wako ndio unakuja na huu uzushi
Kuna kipi cha ajabu nilichoandika hapa!? Nimeandika fasihi ngapi hapa JF! Kama unadhani kila mtu ana akili finyu kama zako jitafakari upya!
 
Uvumilivu na ujinga ni silaha za bure ni matumizi yako na kuhifazi akili muda wote
 
Mwanangu mpenzi siku ukiona nimezeeka naomba uvute subira na kunivumilia ila zaidi ya yote jitahidi kuelewa ninachopitia.

Ikiwa tunapozungumza, narudia jambo lile lile mara elfu moja, usinikatishe na kusema: "Ulisema jambo lile lile dakika moja iliyopita"... Sikiliza tu, tafadhali. Jaribu kukumbuka nyakati ambazo ulikuwa mdogo nilipokuwa nakusomea hadithi ileile usiku baada ya usiku hadi ungelala.

Wakati sitaki kuoga, usikasirike na usinitie aibu. Je! unakumbuka nilipolazimika kukukimbiza baada ya wewe kutoa visingizio vingi vya kukufanya usioge ulipokuwa kijana mdogo tu?

Ukiona jinsi nilivyo mjinga linapokuja suala la teknolojia mpya nipe muda wa kujifunza na usiniangalie hivyo... kumbuka mpenzi nilikufundisha kwa uvumilivu jinsi ya kufanya mambo mengi kama kula ipasavyo, kuvaa, kuchana nywele na kushughulika na maswala ya maisha kila siku... siku ukiona ninazeeka, nakuomba uwe na subira, lakini zaidi ya yote, jaribu kuelewa ninachopitia.

Ikiwa mara kwa mara nikikosa kufuatilia kile tunachozungumzia, nipe muda wa kukumbuka, na kama siwezi, usiwe na woga, papara au kiburi. Jua tu moyoni mwako kwamba jambo muhimu zaidi kwangu ni kuwa na wewe.

Na wakati miguu yangu mizee, iliyochoka isiniruhusu nisitembee haraka kama hapo awali, nipe mkono wako kama vile nilivyokupa wangu ulipotembea mara ya kwanza.

Siku hizo zikifika, usijisikie huzuni...

kuwa nami tu, na unielewe

huku nikifika mwisho wa maisha yangu kwa upendo.

Nitathamini na kukushukuru kwa zawadi ya wakati na furaha tuliyoshiriki. Kwa tabasamu kubwa na upendo mkubwa ambao nimekuwa nao kwako kila wakati, nataka tu kusema, nakupenda ... Mwanangu kipenzi."

Mjoli wenu Jr

we
 
Mwanangu mpenzi siku ukiona nimezeeka naomba uvute subira na kunivumilia ila zaidi ya yote jitahidi kuelewa ninachopitia.

Ikiwa tunapozungumza, narudia jambo lile lile mara elfu moja, usinikatishe na kusema: "Ulisema jambo lile lile dakika moja iliyopita"... Sikiliza tu, tafadhali. Jaribu kukumbuka nyakati ambazo ulikuwa mdogo nilipokuwa nakusomea hadithi ileile usiku baada ya usiku hadi ungelala.

Wakati sitaki kuoga, usikasirike na usinitie aibu. Je! unakumbuka nilipolazimika kukukimbiza baada ya wewe kutoa visingizio vingi vya kukufanya usioge ulipokuwa kijana mdogo tu?

Ukiona jinsi nilivyo mjinga linapokuja suala la teknolojia mpya nipe muda wa kujifunza na usiniangalie hivyo... kumbuka mpenzi nilikufundisha kwa uvumilivu jinsi ya kufanya mambo mengi kama kula ipasavyo, kuvaa, kuchana nywele na kushughulika na maswala ya maisha kila siku... siku ukiona ninazeeka, nakuomba uwe na subira, lakini zaidi ya yote, jaribu kuelewa ninachopitia.

Ikiwa mara kwa mara nikikosa kufuatilia kile tunachozungumzia, nipe muda wa kukumbuka, na kama siwezi, usiwe na woga, papara au kiburi. Jua tu moyoni mwako kwamba jambo muhimu zaidi kwangu ni kuwa na wewe.

Na wakati miguu yangu mizee, iliyochoka isiniruhusu nisitembee haraka kama hapo awali, nipe mkono wako kama vile nilivyokupa wangu ulipotembea mara ya kwanza.

Siku hizo zikifika, usijisikie huzuni...

kuwa nami tu, na unielewe

huku nikifika mwisho wa maisha yangu kwa upendo.

Nitathamini na kukushukuru kwa zawadi ya wakati na furaha tuliyoshiriki. Kwa tabasamu kubwa na upendo mkubwa ambao nimekuwa nao kwako kila wakati, nataka tu kusema, nakupenda ... Mwanangu kipenzi."

Mjoli wenu Jr

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom