Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,916
Baridi liko wapi hapo???
Hapo ni TAZARA crossing ya pale Uyole.
Hapo kwenye msitu nina ka historia fulani na ka bint fulani du umenikumbusha.
Wee unaona kuna joto hasira hapo?
Naishi japan kwa mwaka wa pili sasa. Huku barid ni miezi mitano kuanzia novemba hadi march. Barid kali ya mbeya ni sawa na ya japan ya mid november. By january huwa nyuzijoto 3 mchana na minus 5 ucku! Huo ni upepo tu, barid ipo kwa watu
ha ha ha ha ha ha........, you made my dayhivi wewe unalijua baridi au unabwabwaja tu
baridi liko dar es salaamu
ha ha ha ha ha ha........, you made my day
Hapo kwenye msitu nina ka historia fulani na ka bint fulani du umenikumbusha.
hahahahahaahhaaaaaaaaaaaaaaa