Bariadi: Uongozi wa vijiji viwili watelekeza ofisi na kujiunga CHADEMA



Ni hapa wilayani Bariadi kijijini Kuduwi, katika hali ya kiukombozi uongozi wa halmashauri ya kijiji cha Kuduwi wote. Wakiongozwa na mwenyekiti wa kijiji Bw Nkumi Telemko na wajumbe 9 na wenyeviti wa vitongoji 4 wamejivua uongozi wa serikali ya kijiji kwa kujiunga na CHADEMA wakiwaambia wanakijiji watulie kwani uchaguzi unakalibia haita wadhuru sana.

Jopo lote hili limejiunga na CHADEMA pale walipofikiwa na harakati za makamanda wa CHADEMA kanda ya ziwa mashariki na uongozi wa mkoa katika “Operation Jenga Simiyu”makamanda hawa wamesema tumwambie Dr Slaa ahesabu ameongeza kijiji kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu.



Pia huko Bunda mwenyekiti wa Kijiji cha Nyamoko/Mahanga kata ya Mihingo (bw Werema Kyeyo) nae Karudisha kajiunga na Chadema. Na kwa mkwala kaandaa sherehe na kaahidi kuchinja ngomb’e kufanya tambiko la kutoka jera ya CCM.

Na mie nae andika hapa nimealikwa amesema nimpelekee katiba ya CHADEMA NA RASIMU YA Warioba.

Kuna wengine wengi wakotayari kubwaga manyanga(kutoka CCM) shida eti wanataka mpaka aje Dr Slaa. Ngoja tucheki ratiba yake kwa Makene.


CCM mlie tu.
1

ccm na act wamekazana kununua wenye viti wasio itakia mema tanzania kwa njaa zao. Na wanaendelea kujipa mipasho eti chadema inakufa,, njaa hizi!!!
 
Unazungumzia vijiji wenzao wanazungumzia mikoa na taifa jana huko kigoma uongozi wa mkoa wote umejiunga na ACT sijui kama unalijua hili.

unajiliwaza na una sahau kuwa huko vijijini ndio ngome ya wala rushwa wa ccm! Na wewe tena una jisahau unaonesha mahaba ya wazi na mtotot wenu act??? Wewe mwana ccm unafurahia mtu kujiunga na act badala ya kulilia ajiunge na ccm yako hiyo inayo kuweka mjini kweli u na laana na ccm yako! Piga hesabu ndogo mmenunua mwenye kiti katibu na mtunza fedha yaani wtu wa3 sasa walio ingia chadema kwa leo tu ni watu 16 tena wenye impact kubwa sana, viongozi wa vijiji unajua impact yao?? Endeleeni kuwa wajinga nyie!
 
Yaani mnafurahia wajumbe wa serikali ya kijiji kujiunga na chadema ilhali uongozi wa Ubungo, Kigoma, Tabora, Katavi nk wanahamia ACT? Kweli hizi ni akili za mataahira

Hao walio hamia hicho chama sjui kinaitwa AIC mtajua wenyewe si ni vitoto vya paka vinasombwa na paka pole pole baadae paka nae atahama kwenda AIC hahahaha. Zitto hana jipya tunamjua
 
Unazungumzia vijiji wenzao wanazungumzia mikoa na taifa jana huko kigoma uongozi wa mkoa wote umejiunga na ACT sijui kama unalijua hili.

Nguvu ya chama ipo chini vijijini,hao wachumia tumbo hawakuwa na faida na walijua hizi chaguzi zisingewaacha salama hivyo wameamua kufata vyeo na pesa ccm kupitia tawi la act.
 
CDM tunasonga mbele kwa kasi kubwa vijijini walipo wapiga kura.Hawa wasaliti hawana jipya kwani wamerudisha nyuma sana maendeleo ya chadema kigoma,yaani kutoka madiwani 16 hadi madiwani 2??? Hao ni mizigo bora wamejiwahi kabla hawajapigwa chini!
 
CDM tunasonga mbele kwa kasi kubwa vijijini walipo wapiga kura.Hawa wasaliti hawana jipya kwani wamerudisha nyuma sana maendeleo ya chadema kigoma,yaani kutoka madiwani 16 hadi madiwani 2??? Hao ni mizigo bora wamejiwahi kabla hawajapigwa chini!

kuondoka kwa hao wasaliti ni kama mgonjwa kupona kansa , kutoka madiwani 16 hadi 2 ! Kweli usaliti ni laana .
 
juzi ANDREW CHENGE kazomewa , kibaka ana nafuu ! Inadaiwa aliokolewa na polisi .

Yeye na ndugu yake cheyo wameifanya bariadi shamba la bibi but this time around tunamalizana nao

Fikiria swala la kuiunganisha lamadi na shinyanga hadi leo lina sua sua tu wakati ule ni ukanda wa biashara,ule mradi mkubwa wa mseveni nao umeusimamisha ni lini mkoa wetu unatakuwa na maendeleo chini ya chama cha mapinduzi?

Mwaka 1995 cuf ilikuwa na nguvu sana bariadi chini ya mzee mafuru kama mwenyekiti,cheyo akaja na speed ya ajabu kupitia mdogo wake UDP wakachukua jimbo la bariadi kwa miaka 10 hatukuona la maana zaidi ya nyumba ya john cheyo ile ya mjini kukarabatiwa na kuwa ya kisasa zaidi japo alijitahidi sana kutetea wakulima wa pamba etc and now tuna CDM kwa nguvu iliyo nayo kwa mkoa wa simiyu ina hitajika neno la ukombozi tu toka kwa mh mbowe na dr slaa majimbo yote yanaweza milikiwa na chadema kwa 99.1% bila hata rushwa

Wasukuma wa miaka ya 61 up to 80 sio hawa wa leo,hii jamii imechange,inamuamko mkubwa inahitaji mapinduzi ya kiuchumi,kijamii na kiutamaduni,ccm kama mmeshindwa kuichange hii jamii na kuifanya simiyu to be a better place to live basi tena
 
Back
Top Bottom