Vinci
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 2,638
- 668
hahahaha, nimefurahishwa sana na hiyo sentensi kiongozi. sio wewe tuu inawatokea wengi...imagine anakusugua shingoni kama anaelekea mabegan halafu wanatumia muda mwingi sana. mim huwa nawaambia basi unatosha. wengine wanakupaka mpaka lip balm. kweli kunahitaji ujasiri na uvumilivu wa hali ya juu huko barbershops
haa hi kitu ni balaa, maana Kuna siku baada ya kunyolewa nikaambiwa niende kuoshwa kichwa pamoja na uso, huyo dada aliyekuwa anafanya hii kazi haki ya Mungu alikuwa keshanitia kishawishini, maana ananiosha uso na sehemu ya masikio alafu akawa anaingiza vidole vyake masikioni kwa makusudi kabisa, kufika kwenye kidevu ndio alikaa kama dakika kazaa akikiosha tu huku ananiangalia kwa macho malegevu kabisa, alikuwa kavaa kasuruali kepesi basi akawa anasogelea goti langu na kuliweka katikati ya miguu yake na huku kama anajisuguasugua,
nilikuwa mpole nasubiri ushahidi tu
Wakina mama (Mlioolewa) kweli mna kazi (Bar Maid, House Maid, Networking friendz, and now Berbershop Ladies)