Nasema hivi kwa kuwa miaka yote ya nyuma ilituwezesha kujuana ktk uwezo wetu darasani na ilikuwa sio rahisi kumubeba mwanafunzi asiye jiweza darasani. Sasa kwa staili hii ya kuandika no pekee inaweza kuwafanya watumishi wa Baraza kuweka hata watoto/ndugu zao ambao hawakufaulu. Au hili swala limejitokeza kwa vile mwaka jana mtoto wa Rais alikuwa wa mwisho shule nzima kwa kupata dv 4. Ili tusijue aliye faulu alikuwa na uwezo gani darasani? Naomba nifafanuliwe ili nijue kuna siri gani iko hapo.