Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Tetesi kutoka katikati ya sebule la bro wa magogoni zinasema yuko mbioni kupangua baraza la mawaziri wakati wowote kuanzia sasa. Katika upanguzi huo mawaziri wote wenye matatizo ya afya kuwekwa kando huku sura za vijana zikitawala zaidi. Inasemekana Mh EL naye mara hii anaweza kuambulia chochote.....