Baraza la mawaziri kuvunjwa. Mwakyembe, Mwandosya kutoswa

Na mimi nimepata tetesi kuwa Nyerere kafufuka ila ameng'ang'ania kuishi Kenya. Sijui kwanini huyu mzee ameichukia Tz hivi.
 
Amalize muda wake aondoke tu pale magogoni maana hana analofanya na hajui atendalo
 
kwa jinsi dunia ilivyo kama kijiji kwa sasa; wala siwezi kudharau tetesi hizi: maana tuliambiwa tetesi nyingi tu lakini baadae zikawa kweli; mfano:
1. tetesi 2005: JK kumteua EL kuwa waziri mkuu-ikawa kweli
2. tetesi: mwakyembe mgonjwa ngozi yake yaharika vibya-ikawa kweli
3. tetesi: mabilioni yaibwa BOT kupitia akaunti za madeni ya nje (EPA)-Pamoja na serikali kukana lakini hatimaye ukweli umedhihrika
4. tetesi: posho za wabunge zapanda kinyemela kutoka 70,000-200,000-hatimaye wenye mamlaka wamekiri uwepo wa dhamira hiyo

je kwa nini tuipuuzie tetesi hii?
 
kwa jinsi dunia ilivyo kama kijiji kwa sasa; wala siwezi kudharau tetesi hizi: maana tuliambiwa tetesi nyingi tu lakini baadae zikawa kweli; mfano:
1. tetesi 2005: JK kumteua EL kuwa waziri mkuu-ikawa kweli
2. tetesi: mwakyembe mgonjwa ngozi yake yaharika vibya-ikawa kweli
3. tetesi: mabilioni yaibwa BOT kupitia akaunti za madeni ya nje (EPA)-Pamoja na serikali kukana lakini hatimaye ukweli umedhihrika
4. tetesi: posho za wabunge zapanda kinyemela kutoka 70,000-200,000-hatimaye wenye mamlaka wamekiri uwepo wa dhamira hiyo

je kwa nini tuipuuzie tetesi hii?

Watized hatupendagi kuambiwa ukweli.
Kwanini tusimuige Kikwete alivokiri ukweli wa kutojua chanzo cha umaskini wa TZ
 
Nchi hii isiposhikwa na Chadema, umasikini , ulaghai, kupokea pesa kutoa nje kwa miradi isiyo endelea, uchimbaji wa urenium, yote hayo yatatawala, huku mishahara ya waalimu, ma docta, polisi, mahakimu wakiendelea kuchukua pesa za rushwa kwa raia wema
 
Na mimi nimepata tetesi kuwa Nyerere kafufuka ila ameng'ang'ania kuishi Kenya. Sijui kwanini huyu mzee ameichukia Tz hivi.[/QUOTE]

Hapo kwenye red kuna mwandishi wa habari mmoja alimuuliza swali hilo na yeye akajibu kuwa wakati yuko madarakani haka kanchi kalikuwa kananukia lakini hivi sasa kananuka.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom