Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
hapo kwenye red ni sawa na kuacha gari ukachukua baiskeli
inategemea unapita wapi mkuu, sometimes kiserela ni better ref: barabara za bongo.
hapo kwenye red ni sawa na kuacha gari ukachukua baiskeli
heading yako na yaliyomo havishabiani bana. Be specific to the point.
CLOUDS FM????????????????????CHIZI TU NDIO ANASIKILIZA HII RADIo
Mikataba ya kupora madini ya nchi yetu ina sahihi yake! Cry, my beloved country Tanzania!!!Nasikiliza Clouds sasa hivi kwamba Baraza La Mawaziri huenda likatajwa muda wowote leo hii na baadhi ya wanaotajwa.......... na Dalali Kafumu
Ni sawa na kubadili jezi wakati wa mapumziko ukiamini kua umefanya "sub"Kama hujui kucheza chess hujui tu. Kama huna kete na mfumo, huna tu.
Kubadilisha rangi za kete za chess kutoka nyeupe kwenda nyeusi kama huna strategy hakuwezi kukupa ushindi.
Kubadili mawaziri bila kubadili mkakati ni danganya toto.
Yu masti bi jiniasi!KWA MWENDO HUU MWAKA KESHO TENA TUNAVUNJA BARAZA LA MAWAZIRI, Maana yangu ni kwamba ripoti ya mwaka kesho ya CAG itasheheni mambo yale yale kama ndo wale wale wanao ingia. Tutegemee mabadiliko ya majina na sio utendaji.
JF naona watu wanataka kuigeuza kijiwe.
Ha ha ha haa, Mwigulu? Huyu anayeshindwa hata kujieleza hapa JF? Kama ndo hivyo bora baraza libaki hilohilo lililopo tu. Naona CCM ishaishiwa man power hivi sasa. Mtaji mzuri upo CHADEMA kuliko hata CCM kwenyewe. Sioni kipya katika orodha hiyo. Eti hadi Kilango, mnafiki huyo?
KWA MWENDO HUU MWAKA KESHO TENA TUNAVUNJA BARAZA LA MAWAZIRI, Maana yangu ni kwamba ripoti ya mwaka kesho ya CAG itasheheni mambo yale yale kama ndo wale wale wanao ingia. Tutegemee mabadiliko ya majina na sio utendaji.