haya jamani nafikiri mmeona wenyewe jinsi rais alivyojaaliwa khekima tunaomba kura zenu ili ccm iendelee kutawala 2015 ili kuimarisha misingi hiyo aliyoieleza rais kwenye baraza la idd leo mjini dodoma.Tumia rangi zinazosomeka. Hayo uliyoandika rangi ya manjano nimeshindwa kusoma hata neno moja.
mm ninawasiwasi kama tutawapa nchi hii chadema 2015; misingi hii itavunjika na tanzania hapatakuwa tena mahali pazuri pakuishi!! ccm oyee!!!!!!!!