Tumaini Makene
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 2,642
- 6,071
ORODHA YA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI BARAZA LA KIKWETE
MAWAZIRI
1. OFISI YA RAIS
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu)
Ndugu Stephen M. Wasira, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Utawala Bora)
Ndugu George Mkuchika, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (UTUMISHI)
Ndugu Celina Kombani, Mb.,
2. OFISI YA MAKAMU WA RAIS
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MUUNGANO)
Ndugu Samia H. Suluhu, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MAZINGIRA)
Dr. Terezya P.L. Huvisa, Mb.,
3. OFISI YA WAZIRI MKUU
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji)
Ndugu Mary M. Nagu, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Hawa Ghasia, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge)
Ndugu William V. Lukuvi, Mb.,
4. WIZARA
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Ndugu Samuel J. Sitta, Mb.,
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Ndugu Shamsi Vuai Nahodha, Mb.,
Waziri wa Ujenzi
Dr. John P. Magufuli, Mb.,
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii
Dr. Hussein A.H. Mwinyi, Mb.,
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Dr. Shukuru J. Kawambwa, Mb.,
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Ndugu Sophia M. Simba, Mb.,
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Ndugu Bernard K. Membe, Mb.,
Waziri wa Katiba na Sheria
Ndugu Mathias M. Chikawe, Mb.,
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Ndugu Emmanuel Nchimbi, Mb.,
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Dr. David M. David, Mb.,
Waziri wa Kazi na Ajira
Ndugu Gaudentia M. Kabaka, Mb.,
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Prof. Makame M. Mbarawa, Mb.,
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Prof. Anna K. Tibaijuka, Mb.,
Waziri wa Maji
Prof. Jumanne Maghembe, Mb.,
Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum
Prof. Mark Mwandosya, Mb.,
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
Eng. Christopher Chiza, Mb.,
Waziri wa Uchukuzi
Dr. Harrison Mwakyembe, Mb.,
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
Dr. Fenella E. Mukangara, Mb.,
Waziri wa Maliasili na Utalii
Ndugu Khamis Kagasheki, Mb.,
Waziri wa Viwanda na Biashara
Dr. Abdallah O. Kigoda, Mb.,
Waziri wa Fedha
Dr. William Mgimwa, Mb.,
Waziri wa Nishati na Madini
Prof. Sospeter Muhongo, Mb.,
5. NAIBU MAWAZIRI
OFISI YA RAIS
HAKUNA NAIBU WAZIRI
6. OFISI YA MAKAMU WA RAIS
Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais
Ndugu Charles Kitwanga, Mb.,
7. OFISI YA WAZIRI MKUU
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Majaliwa K. Majaliwa, Mb.,
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Aggrey Mwanry, Mb.,
8. WIZARA MBALIMBALI
Naibu Waziri wa Kazi na Ajira
Dr. Makongoro M. Mahanga, Mb.,
Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
Ndugu Adam Malima, Mb.,
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Ndugu Pereira A. Silima, Mb.,
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara
Ndugu Gregory G. Teu, Mb.,
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Ndugu Benedict N. Ole-Nangoro, Mb.,
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Ndugu Mahadhi J. Maalim, Mb.,
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,
Ndugu Goodluck J. Ole-Medeye, Mb.,
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Ndugu Ummy A. Mwalimu, Mb.,
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Ndugu Philipo A. Mulugo, Mb.,
Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Dr. Abdulla Juma Abdulla, Mb.,
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii
Ndugu Lazaro Nyalandu, Mb.,
Naibu Waziri wa Ujenzi
Ndugu Gerson Lwenge, Mb.,
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,
Dr. Seif Suleiman Rashid, Mb.,
Naibu Waziri wa Nishati na Madini
Ndugu George Simbachawene, Mb.,
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Ndugu January Makamba, Mb.,
Naibu Waziri wa Uchukuzi
Dr. Charles J. Tizeba, Mb.,
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
Ndugu Amos Makala, Mb.,
Naibu Waziri wa Maji
Eng. Dr. Binilith Mahenge, Mb.,
Naibu Waziri Nishati na Madini
Ndugu Stephen Maselle, Mb.,
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria
Ndugu Angela Jasmine Kairuki, Mb.,
Naibu Waziri wa Fedha
Ndugu Janet Mbene, Mb.,
Naibu Waziri wa Fedha
Ndugu Saada Mkuya Salum, Mb.,
Ukiangalia Baraza Kivuli Jipya hapa chini unaweza kuona tofauti kubwa iliyopo katika structure, hasa katika idadi ya wizara na mawaziri. Baraza Kivuli lina mawaziri 22 tu Vs 50+ wa serikali ya CCM. Wizara 18 Vs Wizara 30 za serikali ya CCM.
Sambamba na kupunguzwa kwa idadi ya wizara na ukubwa wa baraza, Mawaziri wa Baraza Kivuli wamepunguzwa kutoka 32. Watu 10 wamepunguzwa katika baraza badala ya kuongezwa kama afanyavyo Rais Jakaya Kikwete. Huu nao unaweza kuwa udhaifu kwa rais wetu. Kukosa uwezo wa kuchagua watu wachache makini wenye ufanisi badala ya kuwa na lundo kubwa la wabadhirifu wanaonuka tuhuma za ufisadi everywhere.
Pia udhaifu mwingine unaweza kuonekana kwa kukosa uwezo wa kuunda wizara chache zenye ufanisi kuokoa gharama na matumizi ya kawaida ya uendeshaji serikali ambayo yana athari kubwa sana kwa maendeleo ya walipa kodi. Kisa kuridhisha kila mpiga kampeni, kada mahiri
wa CCM, marafiki, ndugu, jamaa, marafiki wa mwana na kuridhisha kila kanda na kila mkoa na hatimaye kila wilaya kutoa waziri.
BARAZA LA MAWAZIRI KIVULI NA MABADILIKO YA WIZARA KIVULI
No. | WIZARA KIVULI | WIZARA YA SERIKALI | KAMATI HUSIKA YA BUNGE | WAZIRI KIVULI | NAIBU WAZIRI |
1. | OFISI YA WAZIRI MKUU | OFISI YA WAZIRI MKUU | -SHERIA NA KATIBA, -FEDHA ,UCHUMI +MIPANGO | KUB- FREEMAN A.MBOWE | |
2. | WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU | 1.SERA,URATIBU NA BUNGE 2.UWEKEZAJI NA UWEZESHAJI 3. TAMISEMI- ELIMU -TAWALA ZA MIKOA | -do- | DAVID ERNEST SILINDE | - |
3. | MIUNDOMBINU | UJENZI NA UCHUKUZI | MIUNDOMBINU | SAID ARFI | PAULINE GEKUL |
4 | WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS | OFISI YA RAIS 1-UTAWALA BORA 2-MAHUSIANO NA URATIBU 3- MENEJIMENT YA UTUMISHI WA UMMA | -SHERIA NA KATIBA. -FEDHA NA UCHUMI | PROF. KULIKOYELA KAHIGI | - |
5. | FEDHA UCHUMI NA MIPANGO | WIZARA YA FEDHA | FEDHA NA UCHUMI | ZITTO KABWE | CHRISTINA MUGHWAI |
6. | KATIBA SHERIA NA MUUNGANO | KATIBA NA SHERIA+OFISI YA MAKAMU WA RAIS MUUNGANO | SHERIA NA KATIBA | TUNDU A.LISSU | - |
7. | MALIASILI,UTALII NA MAZINGIRA | MALIASILI NA UTALII+OFISI YA MAKAMU WA RAIS MAZINGIRA | MALIASILI NA MAZINGIRA | MCH.PETER MSIGWA | - |
8. | MAMBO YA NDANI YA NCHI | MAMBO YA NDANI | MAMBO YA NJE ULINZI NA USALAMA | VICENT NYERERE | - |
9. | MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA YA MASHARIKI | MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA+ USHIRIKIANO WA AFRIKA YA MASHARIKI | MAMBO YA NJE ULINZI NA USALAMA | EZEKIAH D.WENJE | RAYA IBRAHIM KHAMIS |
10. | ULINZI NA JKT | ULINZI NA JKT | MAMBO YA NJE ULINZI NA USALAMA | MCH.ISRAEL NATSE | - |
11. | MAJI,MIFUGO NA UVUVI | MAJI NA UMWAGILIAJI+ MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI | KILIMO ARDHI NA MAJI | SYLVESTER M.KASULUMBAYI | SABREENA HAMZA SUNGURA |
12. | KAZI,HABARI,UTAMADUNI NA MICHEZO | HABARI,VIJANA NA MICHEZO+ KAZI NA AJIRA | MAENDELEO YA JAMII | JOSEPH O.MBILINYI | CECILIA PARESSO |
13. | NISHATI NA MADINI | NISHATI NA MADINI | NISHATI NA MADINI | JOHN MNYIKA | - |
14. | VIWANDA NA BIASHARA | VIWANDA NA BIASHARA | VIWANDA NA BIASHARA | HIGHNESS KIWIA | - |
15. | AFYA, JINSIA NA JAMII | AFYA NA USTAWI WA JAMII+MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA WATOTO | -HUDUMA ZA JAMII -MAENDELEO YA JAMII | DR. GERVAS MBASSA | CONCHESTA RWAMLAZA |
16. | ELIMU,SAYANSI NA TEKNOLOJIA | ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI + SAYANSI TEKNOLOJIA NA MAWASILIANO | -HUDUMA ZA JAMII -MIUNDOMBINU | SUZAN A.LYIMO | JOSHUA NASSARI |
17. | KILIMO NA USHIRIKA | KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA | KILIMO, MIFUGO NA MAJI | ROSE SUKUM KAMILI | - |
18. | ARDHI,NYUMBA NA MAKAZI | ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI | ARDHI, MALIASI NA MAZINGIRA | HALIMA MDEE | - |
Unaweza kuona dhahiri hapa namna ambavyo Kambi Rasmi ya Upinzani wanavyoonesha kwa vitendo dhana ya kupunguza matumizi makubwa ya anasa, yanayosababisha mzigo mkubwa kwa walipa kodi, wananchi maskini na maendeleo yao!
Mfano wa matumizi makubwa yanayosababishwa na ukubwa wa serikali, hasa katika eneo la ukubwa Baraza la Mawaziri; katika bajeti hii ya mwaka 2012/2013 inayopigiwa kelele na kupingwa kwa hoja sadifu kwenye hii 'another silly season', Baraza la Mawaziri pekee, yaani matumizi ya wizara mbalimbali katika zile fedha za matumizi ya kawaida, limechukua takriban trilioni 3, wakati serikali za mitaa ambako ndiko wananchi waliko zimepewa Bilioni 700 pekee.
This is a disaster to CCM na its govt and nobody else. Asanteni. Tujadili wakubwa;