nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
Mapambano ya kugombea ulanguzi ikulu yameanza!
Hawa ndiyo bavicha umbea ni jadi yao.
Hata hvy nafasi zote alizopita na hata hii aliyopo ni za kipewa hana maamuzi kiongozi huyu!
Salaam, kumekua na maneno mengi ya upotoshwaji kipindi hiki dhidi ya Mh. Pinda,yote yanatokana na hofu ya Lowassa na watu wake, Baraza kuu la umoja wa vijana halijajadili wala kuongelea swala la unaibu kamanda na wala halijafikishwa kwenye baraza kuu la vijana ni upotoshaji na uoga wa watu wa lowassa kutoka kukubalika kwa Pinda na kuonekana vijana wanamkubali na wanaweza kumpendekeza kuwa Naibu kamanda.
1) kama ukamanda UVCCM Taifa unauwezo wa kumpa mtu Urais basi mzee Kingunge angekuwa rais
2) Wajumbe wa baraza Kuu Taifa( Jumuiya zote ) hawaingii kwenye kikao cha kuweza kumtetea,kumzungumzia mgombea yeyote yule aliyetoswa na Chama.
Bali huingia kwenye kikao kimoja kinachowataka kuchagua mmoja kati ya watatu watakaofikishwa kwenye mkutano mkuu.
Hivyo kama kuna wajumbe wenye nguvu za kumjenga, kumuokoa ama kumtetea mgombea yeyote yule ni Kamati Kuu" CC" na "Nec"
Hivyo ni busara kutorubuni wasiojua wakati sote tunajua ukweli.
Ugawaji wa milioni 50!!
Haiingii akilini bali inadhihirisha ni kwa namna gani aliejitahidi kusambaza uvumi huo dhahifu amefirisika kifikra na ni mgeni hata wa kumiliki milioni moja.
Mbio za Urais ndio kwanza zimeanza, wenye vikao na wenye kura za maamuzi watathibitisha wanaemtaka.
Eti umoja wa vijana wa CCM! Hivi unapokuwa kijana halafu uko CCM unakuwa na akili za aina gani? Naona mmeamua kuwatafutia watoto wenu LAANA kwa nguvu!
Salaam, kumekua na maneno mengi ya upotoshwaji kipindi hiki dhidi ya Mh. Pinda,yote yanatokana na hofu ya Lowassa na watu wake, Baraza kuu la umoja wa vijana halijajadili wala kuongelea swala la unaibu kamanda na wala halijafikishwa kwenye baraza kuu la vijana ni upotoshaji na uoga wa watu wa lowassa kutoka kukubalika kwa Pinda na kuonekana vijana wanamkubali na wanaweza kumpendekeza kuwa Naibu kamanda.
1) kama ukamanda UVCCM Taifa unauwezo wa kumpa mtu Urais basi mzee Kingunge angekuwa rais
2) Wajumbe wa baraza Kuu Taifa( Jumuiya zote ) hawaingii kwenye kikao cha kuweza kumtetea,kumzungumzia mgombea yeyote yule aliyetoswa na Chama.
Bali huingia kwenye kikao kimoja kinachowataka kuchagua mmoja kati ya watatu watakaofikishwa kwenye mkutano mkuu.
Hivyo kama kuna wajumbe wenye nguvu za kumjenga, kumuokoa ama kumtetea mgombea yeyote yule ni Kamati Kuu" CC" na "Nec"
Hivyo ni busara kutorubuni wasiojua wakati sote tunajua ukweli.
Ugawaji wa milioni 50!!
Haiingii akilini bali inadhihirisha ni kwa namna gani aliejitahidi kusambaza uvumi huo dhahifu amefirisika kifikra na ni mgeni hata wa kumiliki milioni moja.
Mbio za Urais ndio kwanza zimeanza, wenye vikao na wenye kura za maamuzi watathibitisha wanaemtaka.