kitofio
Senior Member
- Oct 4, 2013
- 121
- 32
AaamiinSinema inaendelea.....CUF inapumulia mpira (ICU). Mungu awavushe salama.
AaamiinSinema inaendelea.....CUF inapumulia mpira (ICU). Mungu awavushe salama.
dah watu mna misemo...Ikawa jioni ikawa asubuhi siku ya kwanza.
actually, sentensi yako ime-make sense baada ya ww kuanza na emojizcuf haina katibu mkuu kwa mkutano wa buguruni leo
Profesa kwisha kwisha kabisa nyan'ga nyan'ga ndembe ndembe kifo cha malalo Wa mende
haiseeeeeeeeeeee nilifikiri CUF ni lipumba, Kumbe kuna majembe ya hatari sana CUF. duh well done!!!!!!!!!Bado,picha ndo part 1......linaendelea
Kutetewa ni khaki ya kila Mtanzania labda kwàsababu ya ukipofu wako unaona ni ajabu.Duh.... Siasa za nchi hii ni pasua kichwa kabisa!
Kuna wengine wanashangilia aliye mtusi JPM kukutetewa mahakamani na Lisu, lakini hapo hapo hawatwambii ishu ya UKUTA imeishia wapi!
Ni vigumu sana kuwaelewa wapinzani wa nchii!
Najiuliza sana hata Lowassa wa level za akina Jk anawezaje kukaa na wababaishaji kiasi hiki?
Megapixel ngapi camera yako mkuu?Nikipiga picha kwa mbaaaaali naona chama cha wananchi CUF kinaelekea kuzimu.........................
Huyo ni profesa...................Seif akileta mchezo chama kitafutika na kubaki historia. akumbuke alivumiliwa baada ya kulambishwa umakamu wa urais zanzibar na CCM aliweka shughuli za ukatibu Mkuu CUF pembeni.Haya ndiyo maneno ya mwisho ya mtu anayekaribia kifo; kwa taarifa yako kazi ya kwanza ya kumfukuza prof. Uchwara imekamilika sasa kakaeni naye lumumba mumpe plan B. Kama ni marehemu tayari keshazikwa kinachoangaliwa ni siku ya kuhitimisha watu wale ubwabwa na kutawanyika
sawaaaaaaaa. haki sawa kwa naniiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kwa upande wangu naona Prof. Lipumba alikua sahihi sana kuliko Dr. slaa ukiwa katika ngazi kubwa za uongozi halafu wenzako wakafanya maamuzi bila ya kukubaliana lazima jambo kama lile litokee kwa sababu tu mmedharau kiongozi wenu, hata kama wewe ndio mwenyekiti, Busara kubwa aliyoifanya hakwenda kuponda UKAWA alijiweka pembeni na kubaki kama mwanachama wa kawaida, ili wale mliowapa heshima kubwa wawapitishe katika safari yenu, baada ya kuona mambo yameenda mrama na chama kinaelekea kusiko, ameamua kurudi nalo si kosa vilevile kwa mtazamo wangu. Ila propaganda za kuchafuana, mara kapewa hela katumika, ndio zilizoifikisha kafu hapa. MOTO HAUZIMWI KWA PETROL, na kwa waliodhani kwamba UNAWEZA FUKUZA MWENYEKT bila madhara kweny chama ANAJIDANGANYA SANA.Kosa kubwa alilolifanya lipumba ni kujivua uenyekiti ktk wakati muhimu tena kwa mbwembwe zote mbele ya waandishi wa habari.
Angejitoa kimya kimya na angetaka kurudi kwa sasa,nadhani ndio angepata support kubwa toka kwa wanachama na hapo.mgawanyiko ungetokea.
Sio kwa style ile kiongozi,chukulia mfano wa ukimya wa Dr Slaa wakati ule ulivyowaweka wanachama wengi ktk sintofaham,akaja kujiharibia alipoenda serena hotel kulalamika alishindia mihogo na maharage ili kujenga chama
Mkuu Li Pumba keshachafua CV ulaya watamkataa labda aende Rwanda maana Uganda walimfukuza.Namshauri lipumba ahachane na siasa dhambi ya usaliti inamuangamiza bora akale bata ulaya
Daaaaah tuliwaambia Mwenye chama ni Maalim ...
Hamukuelewa sasa ngoja muone kazi yake inayofuata.......
Magdalena sakaya atavuliwa ubunge waende kwenye uchaguzi..........