Baraza jipya la Mawaziri: Tanzania Mpya tuliyoitegemea imeanza kuyeyuka..!

Ndugu zangu kama sio unafiki ni madharau yaleyale yanaendelezwa mbele ya macho ya watanzania tukiwa tunaona.

Nilianza kuwa na imani na Rais kwamba kwa kuwa ameanza kuonyesha mfano mzuri kwa utendaji kwa mwezi huu mmoja basi atatuletea watu wenye mwenendo mzuri na background yao ni safi.

Kitendo cha kutuletea Mwigulu aliyekuwa naibu waziri wa Fedha ili awe waziri kamili huku akiwa na makashfa kibao ya wizara yao kushindwa kukusanya kodi ni madharau.

Mwakyembe aliyeweka wezi waliofukuzwa siku chache zilizopita kule bandarini na kila siku tunasoma kwenye magazeti jinsi alivyotuletea mabehewa feki leo anarudishwa eti ni msafi anaweza kazi, hayo ni madharau kwa watanzania.

Huyu Makamba naye hana sifa yoyote ya kuwa Waziri ndani ya nchi yetu kwa uwezo wake mdogo na kashfa kibao za majungu na kupepeta maneno hatutaki mtu kama huyu.

Huyu Muhongo aliyerudishwa Nishati si ndiye yuleyule aliyefukuzwa serikali iliyopita kwa kushindwa kazi? Leo hii anarudishwa tena mkifikiri tumesahau hasara aliyotuingizia?

Nilianza kuwa na imani kwa mbaali na huyu Rais japo yupo CCM nilianza kidogo kumuamini lakini sio kuamini chama chake.

Nilikuwa nasubiri nione ni watu gani ataleta ili wawe wasaidizi wake sasa basi kama ndio hao imani yangu imekufa moja kwa moja na huniambii tena kitu mara hii, tusubiri tuone.

Watanzania wenye uwezo na wasomi mbona wapo wengi, mpaka Nape unampa Uwaziri? Kweli upo serious au unatutania?

Sitaki tena kumuamini huyu Rais.

Usimwamini ila ndo Rais wako toa kelele na mihemuko isiyikua na maaana,
Ulio wataja unazifahamu vyema taaluma zao na cv zao ama unaleta kelele tuuuu??? January anapiga kaz kuwashndah kwenye mdomo mkaona ni mtu mbaya hujui mtanga yule?? Aya mwigulu kashndwa vp kukusanya kodi wakati kipindi wanaingi kodi ilikua kias gan inayokusanywa na kias gan wameacha inakisanywa?? Mnaongea bila statistics shdah yenu punguzen mihemuko msiish bila kusoma bhna
 
neno la BAO LA MKONO ndilo lililompatia ushindi MAGHUFULI so raisi anarudisha fadhila kwa NAPE NNAUYE
 
Huwa nacheka sana nnapokuta mtu unamsifia Magufuri kwa kasi,fukuza fukuza ya TRA na TPA inawapa shida sana watu,watu wanafukuzwa ila huku kwetu umeme,maji ni shida sana,watu wanafukuzwa lakini aliyewateua leo anahamishwa wizara,maajabu ya namna hii yapo Tanzania tu.kiongozi alijiuzuru kwa sababu wizara yake kulitokea madudu ila leo anarudishwa palepale,maajabu ya namna hii yapo hapa tu.leo hii unampeleka mtu kwenye wizara ya katiba na sheria lakin mtu huyo wizara zingne zilimshinda na kulitokea madudu,maajabu haya yapo Tz tu,tatizo kubwa sana la hapa kwetu huwa tumewekeza kwa watu wachache badala ya mhimili husika.leo hii tungekuwa na mihimili iliyoshiba na imara yaani uteuzi wa Magufuri kusingekuwa na nongwa kabisa,na ndio maana mtu ni waziri tangu enzi na enzi as if hakuna watu wengine,,
Tanzania nchi yangu naipenda sana
 
Makatibu wamesimamishwa kazi ila mawaziri wanakula bata, jamaa analinda wanaccm ila wafanyakazi anawachinja
 
hapa ndipo ninapoishangaa tanzania wizara moja mawaziri wawili na manaibu wawili huku anasema lengo ni kubana matumizi so napata maswali yafuatayo:
Au hao mawaziri wata share mshahara wa waziri mmoja?
Watatumia gari moja linalotoka hiyo wizara?
Kwanini zisiwe wizara mbili tu kuliko kutufanyia mazingaumbwe?
 

Attachments

  • 1449766327285.jpg
    1449766327285.jpg
    79.9 KB · Views: 275
Watanzania wengi tu wavivu wa kufikiri wepesi wa kumwaga sifa kirahisi , magufuli kwa sasa amefanya 3% tuu ya mambo yaani kukaba walipa kodi na afya muhimbili kiasi na kuzuia safari za nnje , kero za watanzania ni nyingi mno hususani , elimu , usafiri , rushwa katiba na vinginevyo hivyo kelele zake na mikwala ya alipokuwa waziwa wa ujenzi bado anavyo huku akituachia mawimbi ya barabara , vivuko vibovu na kazalika. , hiyo changes ya board ya bandari tusiifurahie mapema maana bado hatujaona utendaji
Tusizugwe ni mapema mno kwasas
 
Usimwamini ila ndo Rais wako toa kelele na mihemuko isiyikua na maaana,
Ulio wataja unazifahamu vyema taaluma zao na cv zao ama unaleta kelele tuuuu??? January anapiga kaz kuwashndah kwenye mdomo mkaona ni mtu mbaya hujui mtanga yule?? Aya mwigulu kashndwa vp kukusanya kodi wakati kipindi wanaingi kodi ilikua kias gan inayokusanywa na kias gan wameacha inakisanywa?? Mnaongea bila statistics shdah yenu punguzen mihemuko msiish bila kusoma bhna

Wewe ndio zuzu kweli hivi kilichotokea bandarini, Tra,, shirika la reli hawa mawaziri walikuwa wapi iyo
 
Ccm ileile,watu walewale,system ileile hakuna jipya chin ya ccm
 
Habari nyingine muandike baada ya kuwa na uhakika nazo.
Wapambe wa Magufuli waliotarajia JK ashitakiwe ni kina nani hao? Ashitakiwe kwa makosa gani, kwa kufuata katiba ipi??
Labda mseme mpo "jikoni" ambapo habari zinapikwa, otherwise ni uzandiki tu.

The essence of Functional Immunities under the constitution is to protect the President from any form of prosecution; and not to remove crime.
You either take it or leave it.

Leo ukiondoa kile kipengele cha Immunity kwenye katiba haponi mtu,
Si cha Mwinyi, Mkapa wala Kikwete.
And Yes, they can be prosecuted for homicide, crimes against humanity (torture, enforced disappearance, sexual violence, cruel and degrading punishment) and above all money laundering.

Wafute hicho kipengele uone basi.
The Boss, Nyani Ngabu,
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana sanaaa na uteuzi wa mh. Rais. leo tumesahau mazuri ya Muhongo-umeme wa uhakika. Mwigulu-mishahara hewa alivyopambana. Nape-mafisadi.
 
Wale sio wajinga
wanajua wapi pa kumbana
Kikwete kama aliweza kumshughulikia Lowassa
asingefanya mistake ya kumuachia mtu kiti aje kumsumbua

Wapambe wa Magufuli waliotarajia Magufuli atakuja kuruhusu Kikwete ashitakiwe
wameshaanza kuona jinsi Chama kilivyo na nguvu..kaambiwa tangaza baraza hata wiki haijaisha ametii....

We know the end before the beggining; the best is yet to come.....

Tunaonekana wajinga kumbe tuna akili nyingi sana, wanyonge japo tuna nguvu sana....

Kaenu mkijua kuwa TANZANIA NJEMA IS A MUST PROJECT; none can go against!
 
Back
Top Bottom