mwana siasa
Senior Member
- Aug 28, 2007
- 119
- 6
Jamani mi kwa hivi sasa nipo dodoma, maeneo ya kilimani kwenye pub ya kilimani, kuna waheshimiwa wabunge wengi sana wanaangalia television hapa, na mimi nipo jirani na fanta yangu. Nimejaribu kunukuu mawili matatu waliyokuwa wanaongea .
Wanasema kuwa haijawahi kutokea katika historia ya tz rais akawaita watule wake na kuanza kupanga nao mikakati ya nini kifanyike katika utawala wake , na kamwe haitakuja kutokea. kwani inambidi awateua kwanza kisha awape mikakati yake.
nikatoka hapo nikaingia kwenye baa maarufu mjini kapa ya chako ni chako iliyo jirani kabisa na uwanja wa ndege wa dodoma nikakuta waheshimiwa fulani wakidiscuss ishu hii, walikuwa wanasema kuwa kuna tetesi kuwa jk badala ya kuwasiliana na aliowateua anawasiliana na wale wote aliowamwaga katika awamu iliyopita.na tetesi hizi nimesikia kwa watu wengi wa mjini hapa kuwa anachofanya hivi sasa ni kuwasiliana na wale wote aliowamwaga.
Na hivi sasa ndio naelekea dodoma hotel mana hapa ndo nchi ilipo hivi sasa na mabreaking news yote ya nani yumo nani hayumo yapo hapa ,any way sijui kama wataniruhusu niingie mana wah hawataki kuonana na waandishi wa habari so wanaweza wakajua mimi ni mwandishi wa habari kumbe nipo kwenye vacation.
Anyway yatakayojiri nitawataarifu
Wanasema kuwa haijawahi kutokea katika historia ya tz rais akawaita watule wake na kuanza kupanga nao mikakati ya nini kifanyike katika utawala wake , na kamwe haitakuja kutokea. kwani inambidi awateua kwanza kisha awape mikakati yake.
nikatoka hapo nikaingia kwenye baa maarufu mjini kapa ya chako ni chako iliyo jirani kabisa na uwanja wa ndege wa dodoma nikakuta waheshimiwa fulani wakidiscuss ishu hii, walikuwa wanasema kuwa kuna tetesi kuwa jk badala ya kuwasiliana na aliowateua anawasiliana na wale wote aliowamwaga katika awamu iliyopita.na tetesi hizi nimesikia kwa watu wengi wa mjini hapa kuwa anachofanya hivi sasa ni kuwasiliana na wale wote aliowamwaga.
Na hivi sasa ndio naelekea dodoma hotel mana hapa ndo nchi ilipo hivi sasa na mabreaking news yote ya nani yumo nani hayumo yapo hapa ,any way sijui kama wataniruhusu niingie mana wah hawataki kuonana na waandishi wa habari so wanaweza wakajua mimi ni mwandishi wa habari kumbe nipo kwenye vacation.
Anyway yatakayojiri nitawataarifu