S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 82
Mkuu ilibidi abadilishe timu pale majina fulani fulani yalipo liki. sitaki kuwaalia watu ugali wao.
Hivi wewe mstahiki umetumwa humu bodini...??!!!
Mkuu ilibidi abadilishe timu pale majina fulani fulani yalipo liki. sitaki kuwaalia watu ugali wao.
Kama unaweza fuatilia kwa karibu barabara ya TAMISEMI,niambie nani na nani wameingia hapo.Lunyungu bado uko Dodoma??Source: Shirika la utangazaji Tanzania
Kwa mujibu wa matangazo ya RTD, JK amewaita wale wote walioteuliwa na amekuwa na kikao cha siri na waheshimiwa hao hili kuwapa msimamo wa serikali mpya. tusubiri taarifa zaidi
Sikilizeni atakachosema JK siku ya kuwaapisha au baada ya kuwatangaza. Ana ujumbe ambao siyo tu utawashtua watu, kuna baadhi ya watu itabidi wasikie kiwekiwe. Suala lake la maadili ya viongozi limeanza na uteuzi huu ndio maana imebidi iwe kama inavyokuwa... hawa masikini wa Mungu hawatacheka cheka wakiapishwa maana standard wanayopewa mmh.. nawaonea huruma hapa ndipo atakapoibuka Banguselo wa kweli..! wacha nilele kabla hawanisquash kwenye kuta zao..
one more thing.. what Pinda wants, pinda gets!! nimeanza kumheshimu...
Kama unaweza fuatilia kwa karibu barabara ya TAMISEMI,niambie nani na nani wameingia hapo.Lunyungu bado uko Dodoma??
Hi Gembe I am right here in Dodoma .Hali ni ngumu na kila kona najaribu lakini kila mtu mdomo umeshonwa au ukimpigia simu anasema baadaye .So is hard hard hard sikati tamaa hata shati nimevua nimevaa fulana maana joto ni kali mno .
Mwanakijii unacho kisema nimekubaliana nawe .Joto ni kali .
Lunyungu kaza buti mzee tupate nyeti angalau. Leo zege halilali. Lazima kieleweke.
Lunyungu kaza buti mzee tupate nyeti angalau. Leo zege halilali. Lazima kieleweke.
Wahenga JF tupatieni tetesi/nyepesinyepesi