Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Rais anadanganya (mfano : kuhusu Dowans, IPTL)
Makamu (sio msemaji sana so si rahisi kusikia uongo wake)
Waziri mkuu anadanganya (mfano : mauaji Arusha)
Waziri wa ulinzi anadanganya (mfano : yakilipuka tena ntaachia ngazi......)
Waziri wa nishati anadanganya (mfano : umeme na jairo)
Waziri wa fedha anadanganya (hadi anaumbuliwa na magazeti kuwa uchumi unadorora)
Waziri wa elimu keshawaongopea walimu hadi wamemzoea
Waziri wa sheria anadanganya (mfano : katiba)
Mwanasheria mkuu mdanganyifu
Waziri wa mambo ya ndani mwongo
................
...............
..............
tutaikomesha vipi hali hii?
Makamu (sio msemaji sana so si rahisi kusikia uongo wake)
Waziri mkuu anadanganya (mfano : mauaji Arusha)
Waziri wa ulinzi anadanganya (mfano : yakilipuka tena ntaachia ngazi......)
Waziri wa nishati anadanganya (mfano : umeme na jairo)
Waziri wa fedha anadanganya (hadi anaumbuliwa na magazeti kuwa uchumi unadorora)
Waziri wa elimu keshawaongopea walimu hadi wamemzoea
Waziri wa sheria anadanganya (mfano : katiba)
Mwanasheria mkuu mdanganyifu
Waziri wa mambo ya ndani mwongo
................
...............
..............
tutaikomesha vipi hali hii?