barabara zimeharibika chini ya mwaka mmoja serikali inasemaje

andrews

JF-Expert Member
Mar 28, 2012
1,679
152
Makorongo+Sekenke.JPG
 
Hapo ni wapi mkuu, tupe data zaidi ili tuchangie.
Lakini kwa vyovyote hapo ni mchina tu.
 
Hapo kama Kitinku, karibu ya Manyoni, sina uhakika nakisia tu kwani mleta mada hajasema ni wapi kama ni hivyo basi hicho kipande kilijengwa na kampuni ya Kitanzania.
 
Ingawa mleta mada hajazama kwenye particulars ukweli ni kwamba barabara nyingi zilizojengwa na utawala huu na ule uliopita chini ya ufisi na ujambazi ni za muda. wamepewa ten percent na kuachia wezi wenzao watupige changa la macho.
 
Hapo kama Kitinku, karibu ya Manyoni, sina uhakika nakisia tu kwani mleta mada hajasema ni wapi kama ni hivyo basi hicho kipande kilijengwa na kampuni ya Kitanzania.
Pale Kintinku ni bomba mkuu.
Wakandarasi waliojenga stretch ya Dodoma-Manyoni, KONOIKE, walifanya kitu ya uhakika .

Nafikiri hapo ni mteremko wa Senkenke kuelekea Shelui.
Wachina hao.
 
Barabara za nchi hii hazitakaa zidumu mpaka hapo usafiri wa reli utakapoimarishwa ili malori ya mizigo yapungue barabarani. Hata ukijenga barabara ya kiwango cha nchi zilizoendelea za ulaya na marekani bado zitaharibika kutokana na uzito kubwa wa malori ya mizigo yanayopita barabarani.
 
Back
Top Bottom