mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Huenda nitawakera na kuwaudhi wengi,ila sina namna;nitasema ukweli tu,ili wengi wapate kupona. Taifa liko katika mhemko mkubwa. Mhemko uleule wa miaka yote lakini yote yanatokana na kumezwa na ukungu wa hofu na matumaini. Nimekuwa mfutiliaji mkubwa sana katika ujenzi wa barabara ya Kongwa mpaka Mpwapwa; Mpwapwa na Kongwa ni wilaya mbili zinazobatikana mkoa wa Dodoma. Kutoka Kongwa mpaka Mpwapwa mjini ni kilomita 45.
Lakini swali la msingi linakuja kweli kilomita 45 za barabara zinajekwa kwa miaka tisa,yani nikiwa na maana ujenzi wa barabara kutoka Kongwa mpaka Mpwapwa, taarifa zinasema kila awamu wanajenga kilomita 5 yani kwa kilomita 45 ni miaka tisa mbele ndio barabara inamalizika.
Upo msemo wa kiswahili unaoeleza kuwa ni vigumu sana kumfunza mbwa mzee mbinu mpya za kukamata adui.
Lakini swali la msingi linakuja kweli kilomita 45 za barabara zinajekwa kwa miaka tisa,yani nikiwa na maana ujenzi wa barabara kutoka Kongwa mpaka Mpwapwa, taarifa zinasema kila awamu wanajenga kilomita 5 yani kwa kilomita 45 ni miaka tisa mbele ndio barabara inamalizika.
Upo msemo wa kiswahili unaoeleza kuwa ni vigumu sana kumfunza mbwa mzee mbinu mpya za kukamata adui.