Bar zilizofungiwa zatakiwa kulipa Faini Milioni Tano 5M kila moja ili ziruhisiwe kufanya biashara

Mkuregenzi WA NEMC amezipa siku Kumi na NNE waliofungiwa bar kulipa Faini ya shillingi milioni tano la sivyo watazifutia lesini.

Mtumishi huyo WA umma ameyasema hayo Leo wakati akitoa taarifa Kwa vyombo vya habari. Hali hii inazidi kuonyesha namna ilivyo ngumu kufanya biashara Tanzania na ilivyo ngumu Kwa sekta binafsi kutoboa.

Wakati akitoa kauli hii hakuna sehemu alipoweza kufafanua
1. Waajiriwa katika bar hizi wataishi vipi?

2. Mapato ya bar husika Kwa mwezi ni kiasi gani?

3. Milioni tano akiambiwa yeye alipe anao uwezo wa kulipa?

4. Anapopanga kuzifutia leseni Kodi inayopotea itapatikana Kwa njia gani

5. Waliolipa Kodi ya biashara kwenye hizo bar mfano wenye leseni ya chakula ndani ya bar hizo ambao NI tofauti na mmiliki WA bar anaathirika vipi?

6. Serikali ikigikishwa mahamani na kudaiwa fidia Kwa hasara alizosababisha atalipa yeye?

7. Wakati wa ufungaji WA bar husika watu wa NEMC awakuweza kukusanya ushahidi WA makosa yaliyotendwa, je serikali ikitakiwa kuthibitisha hayo ataweza kulisaidia Taifa?

8. Nani aliyetoa leseni ya hizi biashara? Nini mtizamo WA taasisi nyingine?

Haya na mengine yalipaswa kutangulia faini lakini Kwa kuwa mfumo uliopo unatamani wanaojitegemea wasifanikiwe na wanaoiba kama walivyotajwa kwenye ripoti ya CAG wafanikiwe basi ..........

Matokeo yake Kwa mambo haya hakuna mchina wala muhindi wala hata mbongo serious ataweka pesa zake Tanzania ; wote watazitorosha kwenda kuzihifadhi nje.

Taifa langu Tanzania mnavyowatesa Watanzania sidhani kama mnaweza kuzitesa biashara za mabeberu hivi.......


Ikivuma Sana inakaribia kupasuka
Mlisha ontwa hamkusikia mkuu.. lipeni.
 
Hapa jirani kuna msikiti unaanza adhana saa kumi za usiku na mwingine saa kumi na moja.
Kuna shehe anapiga adhana halafu anaanza mawaidha usiku, mwingine anaaza vitisho kwa watakaokaidi kuamka, mwingine anaweka Kawaida. Hili nalo liangaliwe kuwe na kanuni ya kuanza adhana na nini kisifanyike ili wengine waendelee kuchapa usingizi.
 
Mkuregenzi WA NEMC amezipa siku Kumi na NNE waliofungiwa bar kulipa Faini ya shillingi milioni tano la sivyo watazifutia lesini.

Mtumishi huyo WA umma ameyasema hayo Leo wakati akitoa taarifa Kwa vyombo vya habari. Hali hii inazidi kuonyesha namna ilivyo ngumu kufanya biashara Tanzania na ilivyo ngumu Kwa sekta binafsi kutoboa.

Wakati akitoa kauli hii hakuna sehemu alipoweza kufafanua
1. Waajiriwa katika bar hizi wataishi vipi?

2. Mapato ya bar husika Kwa mwezi ni kiasi gani?

3. Milioni tano akiambiwa yeye alipe anao uwezo wa kulipa?

4. Anapopanga kuzifutia leseni Kodi inayopotea itapatikana Kwa njia gani

5. Waliolipa Kodi ya biashara kwenye hizo bar mfano wenye leseni ya chakula ndani ya bar hizo ambao NI tofauti na mmiliki WA bar anaathirika vipi?

6. Serikali ikigikishwa mahamani na kudaiwa fidia Kwa hasara alizosababisha atalipa yeye?

7. Wakati wa ufungaji WA bar husika watu wa NEMC awakuweza kukusanya ushahidi WA makosa yaliyotendwa, je serikali ikitakiwa kuthibitisha hayo ataweza kulisaidia Taifa?

8. Nani aliyetoa leseni ya hizi biashara? Nini mtizamo WA taasisi nyingine?

Haya na mengine yalipaswa kutangulia faini lakini Kwa kuwa mfumo uliopo unatamani wanaojitegemea wasifanikiwe na wanaoiba kama walivyotajwa kwenye ripoti ya CAG wafanikiwe basi ..........

Matokeo yake Kwa mambo haya hakuna mchina wala muhindi wala hata mbongo serious ataweka pesa zake Tanzania ; wote watazitorosha kwenda kuzihifadhi nje.

Taifa langu Tanzania mnavyowatesa Watanzania sidhani kama mnaweza kuzitesa biashara za mabeberu hivi.......


Ikivuma Sana inakaribia kupasuka
Huu ni uhuni.

Oktoba 2025 siyo mbali.
 
Mkuregenzi WA NEMC amezipa siku Kumi na NNE waliofungiwa bar kulipa Faini ya shillingi milioni tano la sivyo watazifutia lesini.

Mtumishi huyo WA umma ameyasema hayo Leo wakati akitoa taarifa Kwa vyombo vya habari. Hali hii inazidi kuonyesha namna ilivyo ngumu kufanya biashara Tanzania na ilivyo ngumu Kwa sekta binafsi kutoboa.

Wakati akitoa kauli hii hakuna sehemu alipoweza kufafanua
1. Waajiriwa katika bar hizi wataishi vipi?

2. Mapato ya bar husika Kwa mwezi ni kiasi gani?

3. Milioni tano akiambiwa yeye alipe anao uwezo wa kulipa?

4. Anapopanga kuzifutia leseni Kodi inayopotea itapatikana Kwa njia gani

5. Waliolipa Kodi ya biashara kwenye hizo bar mfano wenye leseni ya chakula ndani ya bar hizo ambao NI tofauti na mmiliki WA bar anaathirika vipi?

6. Serikali ikigikishwa mahamani na kudaiwa fidia Kwa hasara alizosababisha atalipa yeye?

7. Wakati wa ufungaji WA bar husika watu wa NEMC awakuweza kukusanya ushahidi WA makosa yaliyotendwa, je serikali ikitakiwa kuthibitisha hayo ataweza kulisaidia Taifa?

8. Nani aliyetoa leseni ya hizi biashara? Nini mtizamo WA taasisi nyingine?

Haya na mengine yalipaswa kutangulia faini lakini Kwa kuwa mfumo uliopo unatamani wanaojitegemea wasifanikiwe na wanaoiba kama walivyotajwa kwenye ripoti ya CAG wafanikiwe basi ..........

Matokeo yake Kwa mambo haya hakuna mchina wala muhindi wala hata mbongo serious ataweka pesa zake Tanzania ; wote watazitorosha kwenda kuzihifadhi nje.

Taifa langu Tanzania mnavyowatesa Watanzania sidhani kama mnaweza kuzitesa biashara za mabeberu hivi.......


Ikivuma Sana inakaribia kupasuka
Sisi hatutaki kelele tukienda bar miziki upigwe kwenye night club tu watanzania wataelewa lini

USSR
 
Kwa uzoefu wangu huyo Mkurugenzi au afisa yoyote aliyepo front lazima atapata anachokitafuta. Kufungia Bar 89 kwa mara moja sio jambo dogo. Kagusa pabaya mno. Wasichokijua biashara nyingi kubwa ni za hawa hawa viongozi wetu ila hawatokei front. NEMC wajitafakari.
 
Kwa uzoefu wangu huyo Mkurugenzi au afisa yoyote aliyepo front lazima atapata anachokitafuta. Kufungia Bar 89 kwa mara moja sio jambo dogo. Kagusa pabaya mno. Wasichokijua biashara nyingi kubwa ni za hawa hawa viongozi wetu ila hawatokei front. NEMC wajitafakari.
Lazima watu wajuwe kufata taratibu
Bila kujali huyu ni nani na Ana cheo
Gani!

Ova
 
Back
Top Bottom