Bar na night clubs Arusha mwisho kuwa saa 6 usiku ni uhujumu uchumi

The Blaze

Senior Member
Mar 23, 2016
163
101
Nionavyo mimi kwa jiji la Arusha mamlaka kulazimisha shughuli za bar na nights clubs mziki mwisho saa 6 usiku ni aina nyingine ya kuzorotesha uchumi na kudidimiza social life ya wakazi wa Arusha. Tourist city kama Arusha haipaswi kuwa na sheria za hovyo kama hizi.

Polisi wanao reinforce katazo hili nao ni rushwa tupu!! Mamlaka zinakosea wananchi.. Entertainment industry na social night life ya watu at stake for no valid reasons.
 
Arusha hakuna vibe.

Usafiri wenyewe shida.

Unaenda kula bata kama huna gari lako utajuta unarudije.
 
Nionavyo mimi kwa jiji la Arusha mamlaka kulazimisha shughuli za bar na nights clubs mziki mwisho saa 6 usiku ni aina nyingine ya kuzorotesha uchumi na kudidimiza social life ya wakazi wa Arusha. Tourist city kama Arusha haipaswi kuwa na sheria za hovyo kama hizi.

Polisi wanao reinforce katazo hili nao ni rushwa tupu!! Mamlaka zinakosea wananchi.. Entertainment industry na social night life ya watu at stake for no valid reasons.
Ina maana "washaga" hawajui tafsiri ya Night Club?
 
Hii taarifa umeipata wapi mkuu?

Ninavyojua mm kwenye bar, grocery, pub mwisho ni saa 6 usiku

Ila night clubs wana vibali vya kukesha mpaka asubuhi, hivyo taarifa yako imenishtua mla bata wa Arusha
 
Inawezekana RC wao hatoshi, anashindwa kukemea huo utaratibu uliowekwa.

Itabidi Mama ampeleke Chalamila!
 
Back
Top Bottom