Msaada namna naweza pata barcode.muhimu
Ongea na huyu , anafanya kwa hao watoa barcode pale Upanga 0779 620 116 au 071-907-0982
Hi Shark, naona huyu yuko Dar, vip:i kwa tulioko Arusha kuna ambaye una contacts zake? Na mie nilitamani kwenye stationery yangu niweze kuona kama inawezekana kuweka system ya bidhaa zote kuwa coded.
Msaada namna naweza pata barcode.muhimu
Mpaka mwaka jana nilikuwa natoa huduma ya GS1 Barcode kuanzia allocation ya Global Trade Identification Number (GTIN) mpaka origination ya Barcode. Baada ya ujio wa GS1-Tz nimeachana na Hizo allocations za GS1 na nimekaimisha barcodes za UPC-UCC, EAN, Universal Containers Shipping Codes, na Asset Managent Identification Services. Ukiwa unahitaji la codes tofauti na zitolewazo na GS1 Global basi naweza kukuunganisha.
Cheki na huyu jamaa ni mkurugenzi ktk hilo kampuni la GSI anaweza kukusaidia kwa huko Arusha anapatikana kwa 0713666616
Mkuu naomba contacts zako.
Angalia kwenye chumba chako cha PM...nimekutumia