Mh! hii story mbona kama ya studio?
Kama mdau Lutalo alivyosema yeye akienda bao Moja Hoi,na watu wamemshauri bao moja linatosha kabisa,
lakini kuna my friend wangu alinipa kero ya Mpenzi wake ,wakati wanafanya mapenzi anamuhesabia mshkaji kabisa anapush 1,2,3, ya 4 jamaa kashamaliza zamani ajitahidi sana anaenda ya 5 na akimaliza analala HOI aamki tena,Jamaa mwanzoni alikuwa kimya lakini miezi michache iliyopita kamtolea uvivu kamwambia Condom ndio inamfanya asiweze kufanya sana eti kuwa inambana. Sister kuona ivyo kamwambia hawezi kufanya bila Condom kutokana na Hali halisi ya Ukimwi na kupata Mimba zisizotarajiwa,
sasa hivi Uhusiano wao uko juu ya mawe sababu hiyo.
We una uhakika au unaongea ongea tu hapa. Mi huwa napiga goli nne kama mchezo tu. And guess what I knw how 2 make luv and yeah I also knw how to f**k.si kweli kaka, hizo story za kijiweni mara nyingi ni uongo na kujisifia, tena huwa ni za teenagers, in reality huwa si kweli. inategemea hilo bao moja unaenda dakika ngapi, kama ni two minute over, then thats another problem, lakini kama umetumia 20 minutes to 30 bado una uwezo wa kupiga mengine matatu? tuwe wakweli, hao wanaodhani kupiga mabao mengi ndo great sex, they are very wrong, and i dare to say they dont know how to make love. sorry people.
Mwenzenu nahitaji ushauri. Kwa muda muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la wakati wa tendo la ndoa, baada ya kupiga bao moja huwa nakuwa hoi kabisa. Kama nikitaka la pili lazima niuze timu (niende pekupeku). Nifanyeje ili niweze kuwa na nguvu za kuenda hata mabao matatu ndani ya kiroba. Nahiataji msaada wenu jameni
Mkuu unaniangusha kabisa hapa. Yaani hiyo xp yako ndiyo unataka kuitumia ku-generalize!!!!!!!!! Kuna mademu kibao tu wanapenda sana long and frequent sex na wanaenjoy na wala hawalalamiki kuwaka moto au sijui maumivu.Hahahaha...I could be a one minute man but I guarantee to give you the best minute you've ever had in your life....lol
Long and frequent sex dries up the vagina. I have first hand experience of this. Hiyo kesho yake mwanamke akienda kukojoa sehemu sehemu kunawaka kama fireworks
Utaamini tu.Siamni kama hili jibu limetolewa na FL1 au ulimpa mtu password yako..
Mwenzenu nahitaji ushauri. Kwa muda muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la wakati wa tendo la ndoa, baada ya kupiga bao moja huwa nakuwa hoi kabisa. Kama nikitaka la pili lazima niuze timu (niende pekupeku). Nifanyeje ili niweze kuwa na nguvu za kuenda hata mabao matatu ndani ya kiroba. Nahiataji msaada wenu jameni
We toto Triple D inabidi nikutafute maana inaonekana kwenye haya mambo ya malavi davi uko juu aisee. (Ni-PM basi tuongee vizuri.)Sishauri waache kutumia condom kama ni mpenzi tu,jamaa atumie delay spray zinauzwa pharmacy zote angalau atapiga dakika 10-15 na kwakuwa anavaa condom zinaweza ongezeka.Watu wengi condom zinawachelewesha sasa huyu asisingizie condom ana premature ejaculation.
hahahaaaa!! kuna ma-pro humu bana!! usije ukahesabiwa mpaka tano na wewe!!!We toto Triple D inabidi nikutafute maana inaonekana kwenye haya mambo ya malavi davi uko juu aisee. (Ni-PM basi tuongee vizuri.)
Mh! hii story mbona kama ya studio?
pole sana inabidi amuone Dr hii sio kawaida 1.2.3.4.5 . ................................
hahahahahahah kuna kila daliliMh! hii story mbona kama ya studio?