gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
Binadamu tunapitia mambo mengi katika maisha yetu.
Nimeamua kuanzisha uzi huu ili tupeane uzoefu wa mambo yaliyotukuta,na kujipa matumaini mapya ya kusonga mbele,na kuwapa pole wenzetu,kwa yaliyowakuta.
Hapa chini ni baadhi ya masahibu yanayowakuta watu katika nyakati tofauti.
1.Kusingiziwa kosa lisolokuwa lako,
-iwe upotevu
-forgery na mengine kama hayo...
2.Kuibiwa mali
-samani(furniture)
-Computer/Laptop
-Gari na vingine kama hivyo
3.Kupita maeneo yenye vibaka na kuporwa
4.Kutapeliwa
-simu za mkononi,hela,n.k
-kiwanja,nyumba,gari,n.k.
5.Kufiwa na boyfriend,au girlfriend,na husband,wife.
6.Kutishiwa maisha kwa njia ya simu,barua,na au message ya simu.
7.Kufanyiwa upasuaji wa aina yoyote katika mwili wako,iwe jicho,goti,uvimbe,ya uzazi,na nyinginezo..
8.Kupanda gari binafsi,basi la abiria,treni,meli,boti,au ndege na ikatokea
-Puncture,ama ajali kabisa
-Kutekwa,na au ujambazi,na misukosuko mingine kama hiyo..
9.Kufiwa na mtoto,au watoto
10.Kupigana na,ama kupigwa na mwenza
11.Kupewa miadi hewa(haijalishi ni mpenzi ama siyo),kuwa mkutane mahali,nawe ukaenda na ukaganda hadi likakuchwea...
12.Kudondoka ghafla kwa mshtuko,hofu au kwa lolote lile lingine..
Karibuni..
Nimeamua kuanzisha uzi huu ili tupeane uzoefu wa mambo yaliyotukuta,na kujipa matumaini mapya ya kusonga mbele,na kuwapa pole wenzetu,kwa yaliyowakuta.
Hapa chini ni baadhi ya masahibu yanayowakuta watu katika nyakati tofauti.
1.Kusingiziwa kosa lisolokuwa lako,
-iwe upotevu
-forgery na mengine kama hayo...
2.Kuibiwa mali
-samani(furniture)
-Computer/Laptop
-Gari na vingine kama hivyo
3.Kupita maeneo yenye vibaka na kuporwa
4.Kutapeliwa
-simu za mkononi,hela,n.k
-kiwanja,nyumba,gari,n.k.
5.Kufiwa na boyfriend,au girlfriend,na husband,wife.
6.Kutishiwa maisha kwa njia ya simu,barua,na au message ya simu.
7.Kufanyiwa upasuaji wa aina yoyote katika mwili wako,iwe jicho,goti,uvimbe,ya uzazi,na nyinginezo..
8.Kupanda gari binafsi,basi la abiria,treni,meli,boti,au ndege na ikatokea
-Puncture,ama ajali kabisa
-Kutekwa,na au ujambazi,na misukosuko mingine kama hiyo..
9.Kufiwa na mtoto,au watoto
10.Kupigana na,ama kupigwa na mwenza
11.Kupewa miadi hewa(haijalishi ni mpenzi ama siyo),kuwa mkutane mahali,nawe ukaenda na ukaganda hadi likakuchwea...
12.Kudondoka ghafla kwa mshtuko,hofu au kwa lolote lile lingine..
Karibuni..