asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,029
Wavuta bangi wawili
waliliona embe juu ya mti
wakaamua
kuliangusha.Walirusha
mawe mengi bila
kufanikiwa kuliangusha
lile embe.Mvuta bangi
mmoja akasema;isije
ikawa embe lenyewe
bichi,ngoja nipande juu
nikalicheki.Baada ya
dakika 5,yule mvuta bangi
akashuka
chini,akamwambia
mwenzie; oyaaah nimelibonyeza
limeiva vizuri
kabisa,tuendelee
kuliangusha mchizi wangu!!
waliliona embe juu ya mti
wakaamua
kuliangusha.Walirusha
mawe mengi bila
kufanikiwa kuliangusha
lile embe.Mvuta bangi
mmoja akasema;isije
ikawa embe lenyewe
bichi,ngoja nipande juu
nikalicheki.Baada ya
dakika 5,yule mvuta bangi
akashuka
chini,akamwambia
mwenzie; oyaaah nimelibonyeza
limeiva vizuri
kabisa,tuendelee
kuliangusha mchizi wangu!!