Jayfour_King
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 1,135
- 128
Kwenu wadau jamii ya JF.
Katika report ya jopo la watafiti wa umoja wa mataifa kuhusu biashara ya silaha na waasi walioko DRC wanaojulikana kama FDLR, kuna mtu kwa upande wa Tanzania ametajwa kama ndiye character muhimu kwa jina la Bande Ndagundi.
Kwa kuwa ma papaa wengi ambao huishi bongo huwa ni prominent figure kutokana na kuwa watu wa kujichanganya na kuwa na makuta ya kufanyia mambo. Mie ningependa kufahamu kama mtu huyu anafahamika na watanzania wa kawaida kwa extent gani. Naomba wanaomfahamu watupe wasifu.
Katika report ya jopo la watafiti wa umoja wa mataifa kuhusu biashara ya silaha na waasi walioko DRC wanaojulikana kama FDLR, kuna mtu kwa upande wa Tanzania ametajwa kama ndiye character muhimu kwa jina la Bande Ndagundi.
Kwa kuwa ma papaa wengi ambao huishi bongo huwa ni prominent figure kutokana na kuwa watu wa kujichanganya na kuwa na makuta ya kufanyia mambo. Mie ningependa kufahamu kama mtu huyu anafahamika na watanzania wa kawaida kwa extent gani. Naomba wanaomfahamu watupe wasifu.