Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,067
- 2,302
Hajatamka mwaka lakini hiyo utakuwa CAG report ya mwaka mmoja. Ukumbuke kama TPA waliweza kuiba port charge ya kintena $600 wasingeshindwa kuiba docking fee ya $30,000 kwa meli moja. Wizi ulikuwa kila sekta, kila mtu akijichotea kwa wakati wake.Hao waliompa Mhe. taarifa kwa nimi walisubiri hadi zimefika meli 65? kama sio kukosa mgao basi nao ni majipu