Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 882
- 4,128
Nani anajua tumemaliza vipi hoja ya bandari na DP world?
Mwaka unaisha sasa, je wale waliokuwa wanatudanganya tutashtakiwa wameanza kushawishi DP world watushtaki ili walipwe fidia?
Wale waliokuwa wanawatukana watumishi wa bandari kwamba wameshindwa kazi leo hii mbona wanaendelea kujisifu mapato yanaongezeka?
Wale wabunge waliopitisha azimio mbona hakuna hata mmoja anauliza utekelezaji wake?
Wale viongozi waliosema lazima iuzwe wamepotelea wapi na wanunuzi wao?
Wakina kitenge na safari zao za Dubai mbona wapo kimya? Je walizolipwa zimewaondolea umaskini au bado wanasaka followers wapate magawio ya mtandaoni?
Hongereni wazalendo mliosimama kwa maslahi ya wengi
Mwaka unaisha sasa, je wale waliokuwa wanatudanganya tutashtakiwa wameanza kushawishi DP world watushtaki ili walipwe fidia?
Wale waliokuwa wanawatukana watumishi wa bandari kwamba wameshindwa kazi leo hii mbona wanaendelea kujisifu mapato yanaongezeka?
Wale wabunge waliopitisha azimio mbona hakuna hata mmoja anauliza utekelezaji wake?
Wale viongozi waliosema lazima iuzwe wamepotelea wapi na wanunuzi wao?
Wakina kitenge na safari zao za Dubai mbona wapo kimya? Je walizolipwa zimewaondolea umaskini au bado wanasaka followers wapate magawio ya mtandaoni?
Hongereni wazalendo mliosimama kwa maslahi ya wengi