BANDARI DAY: Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA Viwanja vya Bulyaga, Temeke

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,722
218,286
Pamoja na Mvua kunyesha kuanzia Alfajiri huku Temeke, lakini mpaka sasa kwenye viwanja vya Bulyaga, ambako kuna Mkutano kabambe wa kupinga Mkataba mbovu na kupiga spana madalali wa Bandari za Tanganyika , watu wameanza kuja.

Vikundi vya kutumbuiza wananchi tayari viko jukwaani , awali watu wa Afya (Red cross) walishafika viwanjani mapema asubuhi

Screenshot_2023-07-23-13-01-53-1.jpg



Updates
=======
Baba Askofu Mwamakula atoa siri kwamba wao kama viongozi wa dini wanajua mambo mengi kuhusu mkataba huu ndio maana wanaukataa , anasema ni vema tukauvunja sasa badala ya kusubiri yatukute ya Djibout .

Watu ni wengi mno ! Maagizo ya Mwaipopo yamegonga mwamba

Habari zaidi, soma:
  1. Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi
 
Pamoja na Mvua kunyesha kuanzia Alfajiri huku Temeke , lakini mpaka sasa kwenye viwanja vya Bulyaga , ambako kuna Mkutano kabambe wa kupinga Mkataba mbovu na kupiga spana madalali wa Bandari za Tanganyika , watu wameanza kufurika .

Awali kuna Mamluki wakiongozwa na Maulid Kitenge au "KITENGE DP" kama anavyofahamika sasa , walisambaza uzushi wa kwamba Francis Mutungi amezuia Mkutano huo ili kuwachanganya wananchi , hata hivyo kama tunavyosema siku zote kwamba SHETANI HAJAWAHI KUMSHINDA MUNGU , ndicho kilichotokea

Vikundi vya kutumbuiza wananchi tayari viko jukwaani , awali watu wa Afya (Red cross) walishafika viwanjani mapema asubuhi

View attachment 2696905
Safi sana
Viva CHADEMA!, Viva Tanganyika!
Lazima kieleweke
Aibu yao serikali, Polisi, na CCM
 
Back
Top Bottom