Kenyan JF-Expert Member Jun 7, 2012 414 313 Apr 19, 2023 #1 Serikali ya Uingereza imemteua Neil Wigan kuwa Balozi mpya wa taifa hilo nchini Kenya, akichukua nafasi ya Jane Marriott ambaye amedumu kwa miaka 4. Balozi Wigan anatarajiwa kuanza kazi rasmi Julai, 2023.
Serikali ya Uingereza imemteua Neil Wigan kuwa Balozi mpya wa taifa hilo nchini Kenya, akichukua nafasi ya Jane Marriott ambaye amedumu kwa miaka 4. Balozi Wigan anatarajiwa kuanza kazi rasmi Julai, 2023.
Carasco Putin JF-Expert Member Apr 23, 2022 8,672 25,843 Apr 19, 2023 #2 Hongereni Ila Nina wasiwasi na jinsia zao
Waterloo JF-Expert Member Nov 30, 2010 25,360 38,869 Apr 19, 2023 #3 Hongereni wakenya kwa kupata balozi mpya kutoka uingereza.
Black Sniper JF-Expert Member Dec 10, 2013 28,475 45,784 Apr 19, 2023 #4 Wameona wamletee anaendana na mshike mshike na yanayoendelea huko Utakuta ni mjeda mstaafu au jasusi mbobezi Ngoja nisubiri hapa cv
Wameona wamletee anaendana na mshike mshike na yanayoendelea huko Utakuta ni mjeda mstaafu au jasusi mbobezi Ngoja nisubiri hapa cv
Black Sniper JF-Expert Member Dec 10, 2013 28,475 45,784 Apr 19, 2023 #5 Daa nimemsoma kidogo Jamaa kapita Somalia, Congo na Israel Ndio maana wamemleta Kenya