BarakaJr
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 289
- 78
Rais amefanya mabadiliko ya wakuu wa Wilaya, sasa ni wakati wa kufanya mabadiliko kwa hawa mabalozi wetu hasa huyu aliyeko huku D.R.C kwani hana msaada kwa waTanzania hata pale anapopewa taarifa.
Amekua ni mtu mwenye kiburi na jeuri.
Rais tunakuomba utuondolee huyu mtu.Na pia imefikia mahali sasa Tanzania iwe na ofisi ya mwakilishi wa balozi mjini Lubumbashi mkoa wa Katanga, kwani ndipo waTanzania wanafika kwa wingi kuliko huko Kinshasa.
HUYU MTU NI TATIZO SANA.
Amekua ni mtu mwenye kiburi na jeuri.
Rais tunakuomba utuondolee huyu mtu.Na pia imefikia mahali sasa Tanzania iwe na ofisi ya mwakilishi wa balozi mjini Lubumbashi mkoa wa Katanga, kwani ndipo waTanzania wanafika kwa wingi kuliko huko Kinshasa.
HUYU MTU NI TATIZO SANA.