Balozi Sefue: Tumepokea mapendekezo ya bunge, ila tunataka kwenda deep zaidi

Hahahahaha eti rijali!!!! Rijali gani anayetunzwa na wanaume MUJINI kwa kupewa Buku 7 kila siku ili kuwatetea wahuni na mafisadi!? Tafuta shughuli ya maana hata ya kuuza genge badala ya kuendelea kutunzwa na wanaume. Acha kupenda dezo ya kutaka hela za haraka haraka na hela haramu matokeo yake ndiyo hayo hata wazazi wamekususa. Hakuna mzazi ambaye atamkubali mtoto punguani kama wewe usiye na shughuli ya maana ya kukupatia kipato na unaishi kwa kutegemea wanaume wakutunze. Hasara tupu kuwa na mtoto taahira kama wewe, wazazi wako hawakukosea walipoamua kukususa. Mpumbavu mkubwa wewe.


Hujambo binti ? na leo tena uje upate habari kama ya jana. Usimsahau mkeo na watoto. Karibu sana
 
Hahahahaha naona jana wanaume wanaokutunza MUJINI walikuwowa hukuwa hata na nafasi ya kuchangia hapa. Pole sana dunya kama huna shughuli ya maana ya kukuweka MUJINI rudi kijijini ukalime badala ya kuwaaibisha wazazi wako kwa kuwekwa ndani kama kimada na wanaume wenzio. Eti geniusbrain lol!!!! Taahirabrain ndiyo sababu umekubali kuwekwa ndani na wanaume ili wakutunze.

Hahahahaha eti rijali!!!! Rijali gani anayetunzwa na wanaume MUJINI kwa kupewa Buku 7 kila siku ili kuwatetea wahuni na mafisadi!? Tafuta shughuli ya maana hata ya kuuza genge badala ya kuendelea kutunzwa na wanaume. Acha kupenda dezo ya kutaka hela za haraka haraka na hela haramu matokeo yake ndiyo hayo hata wazazi wamekususa. Hakuna mzazi ambaye atamkubali mtoto punguani kama wewe usiye na shughuli ya maana ya kukupatia kipato na unaishi kwa kutegemea wanaume wakutunze. Hasara tupu kuwa na mtoto taahira kama wewe, wazazi wako hawakukosea walipoamua kukususa. Mpumbavu mkubwa wewe.


Hujambo binti ? na leo tena uje upate habari kama ya jana. Usimsahau mkeo na watoto. Karibu sana
 
Hahahahaha naona jana wanaume wanaokutunza MUJINI walikuwowa hukuwa hata na nafasi ya kuchangia hapa. Pole sana dunya kama huna shughuli ya maana ya kukuweka MUJINI rudi kijijini ukalime badala ya kuwaaibisha wazazi wako kwa kuwekwa ndani kama kimada na wanaume wenzio. Eti geniusbrain lol!!!! Taahirabrain ndiyo sababu umekubali kuwekwa ndani na wanaume ili wakutunze.






Mbona huhadithii wenzako jana nilikufanya nini? Chezea GB mpaka niliichana.
 
hahahahahaha lol!!!! We kweli taahirabrain hata kunijua hunijui halafu unaandika upumbavu wako hapa!! Rudi kijijini ukalime mchicha badala ya kupenda maisha ya dezo dezo kutegemea kutunzwa na wanaume. Kumbuka BURE GHALI wenzio wanakuharibu tu rudi kwenu kabla hujaharibikiwa zaidi.


Hahahahaha naona jana wanaume wanaokutunza MUJINI walikuwowa hukuwa hata na nafasi ya kuchangia hapa. Pole sana dunya kama huna shughuli ya maana ya kukuweka MUJINI rudi kijijini ukalime badala ya kuwaaibisha wazazi wako kwa kuwekwa ndani kama kimada na wanaume wenzio. Eti geniusbrain lol!!!! Taahirabrain ndiyo sababu umekubali kuwekwa ndani na wanaume ili wakutunze.






Mbona huhadithii wenzako jana nilikufanya nini? Chezea GB mpaka niliichana.
 
Ndoo maana mabadiliko ya kweli yanatoka kwenye sanduku la kura. Tume haziwezi leta mabadiliko maana zina operate ndani ya system ileile.
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa Rais wetu yupo kimya na swala la escrow. Katibu mkuu kiongozi majuzi amesema ati wanasubiri mamlaka za kiuchunguzi zilete ripoti ndio rais aamue.
Hivi kweli kwa ufisadi mkubwa huu uliotikisa taifa kiasi hiki, rais anashindwaje hata kufanya maamuzi ya haraka ili kusafisha hali ha hewa iliyochafuka nchi nzima? Au anavuta mda usogeee mbele na watz tunavyokwenda na upepo ndani ya mwezi mmoja kila mtu atakuwa kasahau yote! Na wakituchanganyia na uchakachuaji wa kura za maoni wk ijayo basi escrow inazikwa!
Nashauri taasisi na asasi zisizokuwa za kiserikali ziendelee kuchangamsha issue ya eskrow na vyama vya upinzani viendelee kulivalia njuga mpaka kieleweke! Na sisi wananchi tuendelee kufanya sehemu yetu ikiwa ni pamoja na kuchagua viongozi walio wasafi!
Sikutegemea hawa maprofessor na mzee wa vijisenti kuwa wangefikisha mda huu wote bila tamko lolote kutoka ikulu maana wao kwenye mjadala mzima walikuwa masteringi!!!
 
Naona wanajipanga jinsi ya kutudanganya maana wamegundua wananchi wapo macho hivyo lazima wajipange vilivyo.
 
Lets make story short, Hii ni danganya toto: JK na serikali yake ni shida kwa sasa kumuwajibisha Muhongo na AG na hasa kwa mama Tibaijuka hivi ni vidonda, hiyo move inayoendelea itawawajibisha watu lakini ambao sio AG na Muhongo. CCM hadi kesho hawawezi kuamini kama Muhongo na AG ni wizi na ofisi zao zinanuka uvundo hii ndio shida ilipo. Kama tusubiri interest ya Rais na awawajibishe huyu na huyu asimuajibishe kuna haja gani ya Bunge. Hii mihimili basi imeundwa watu kula hela tu nothing else, mahakama haifai na sasa bunge limekosa meno na miguu bwankubwa ana mamlaka ya kila kitu

lshu imegusa kanisa hii
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa Rais wetu yupo kimya na swala la escrow. Katibu mkuu kiongozi majuzi amesema ati wanasubiri mamlaka za kiuchunguzi zilete ripoti ndio rais aamue.
Hivi kweli kwa ufisadi mkubwa huu uliotikisa taifa kiasi hiki, rais anashindwaje hata kufanya maamuzi ya haraka ili kusafisha hali ha hewa iliyochafuka nchi nzima? Au anavuta mda usogeee mbele na watz tunavyokwenda na upepo ndani ya mwezi mmoja kila mtu atakuwa kasahau yote! Na wakituchanganyia na uchakachuaji wa kura za maoni wk ijayo basi escrow inazikwa!
Nashauri taasisi na asasi zisizokuwa za kiserikali ziendelee kuchangamsha issue ya eskrow na vyama vya upinzani viendelee kulivalia njuga mpaka kieleweke! Na sisi wananchi tuendelee kufanya sehemu yetu ikiwa ni pamoja na kuchagua viongozi walio wasafi!
Sikutegemea hawa maprofessor na mzee wa vijisenti kuwa wangefikisha mda huu wote bila tamko lolote kutoka ikulu maana wao kwenye mjadala mzima walikuwa masteringi!!!

Escrow haiwezi kushughulikiwa na mtanzania kamwe. Wafadhili/wahisani/washirika wa maendeleo ndo walioisimamia na hawa hawatishwi na wezi. Of course wana sababu zao za kufanya hivyo, ila wameshapata upenyo wa kuwabania hawa mamwinyi wetu. Tusubiri siku chache zijazo shilingi itakuwa 2,000 kwa dola moja. Sasa hivi si imeshafika 1,750 (shilingi mia imeongezeka ndani ya mwezi mmoja). Tunapoelekea kule alikofikia Robert Mugabe, purchasing power iporomoke wale ambao hatutakuwa na uwezo wa kwenda benki kuu na viroba vya kutilia noti tumekwisha. Hapo ndo mabadiriko yatakapokuja - kura haitaweza kwani wezi ndo wanahesabu kura na kutangaza nani mshindi!
 
Kina zito wameandika report toka June wakisaidiwa na Standard Chartered Bank, Shell na Mengi leo ukaitangaze benki kuwa inatakatisha pesa ikiwa soon oooh JK hakuona yeye au ni mpango wake na mafisadi.

Lazima report ifanyiwe kazi vyema kabla ya kufanya maamuzi. Hayo ya kufanya maamuzi kwakua bunge limesema nadhani tusubiri ukawa wakiingie maana wao wakiambiwa na bunge kamata fulani wanakamata uwa fulani wanauwa

Halafu Zitto ana papara sana naanza kuona kwa nini wenzake walimtimua.Kawapandisha karandinga wale wazee TPDC huku dunia nzima waishuhudia.kumbe mikataba anayo AG na kisheria spika mpaka atoe idhini ya kukamatwa kwao.Defamation case inamnyemelea kijana.
 
hahahahahaha lol!!!! We kweli taahirabrain hata kunijua hunijui halafu unaandika upumbavu wako hapa!! Rudi kijijini ukalime mchicha badala ya kupenda maisha ya dezo dezo kutegemea kutunzwa na wanaume. Kumbuka BURE GHALI wenzio wanakuharibu tu rudi kwenu kabla hujaharibikiwa zaidi.


Unacheza kweli, nisikujue wakati nilikufanyia vitu vyangu mpaka nikaichana, unachezea GB wewe. Watu kama nyie ndio tunawaita mchicha mwiba shakula shakula.
 
Endelea kuonyesha upumbavu wako. Wezi wakikuingilia hapo kwako na kuiba chochote ulichonacho katika hicho chumba cga cha kupanga utapiga ukulele wa mwizi na kuwaamsha wapangaji wenzio na si ajabu mtaa mzima, lakini hawa wahuni, wezi na mafisadi wanaokwapua matrilioni ya walipa kodi kila mwaka unawakumbatia kwa sababu tu wanakutunza baada ya kukurubuni akili yako hiyo ya kipunguani. Watanzania mapunguani kama wewe ndio mnaoendelea kuwapa kiburi hawa wahuni, wezi na mafisadi mwaka hadi mwaka waendelee kuiangamiza nchi hii. Hakika wewe ni RetardedBrain.

Unacheza kweli, nisikujue wakati nilikufanyia vitu vyangu mpaka nikaichana, unachezea GB wewe. Watu kama nyie ndio tunawaita mchicha mwiba shakula shakula.
 
Aina ya kwanza ya viroba ni pombe kali ya konyagi iliyofungashwa kwenye pakti ndogondogo ambayo inasambazwa kwa walalahoi ili iwasaidie kujiliwaza dhidi ya maumivu makali yanayosababishwa na nchi yao kuporwa kila kitu ikiwemo wanyama hai, pembe za ndovu, misitu, madini, gesi na fedha taslim.

Aina ya pili ya viroba ni mifuko mikubwa mithili ya magunia, sandarusi au lumbesa inayotumiwa na viongozi kuhamisha fedha taslim za watanzania kutoka benki kwenda kusikojulikana. Hawa ndio wanaosaidia upatikanaji kwa wingi wa viroba vya aina ya kwanza ya viroba ili wananchi wawe mazuzu ili waporwe vizuri huku wakishangilia. Yumkini hata wabunge kama Lusinde na Assumpta walikuwa wameshindilia viroba kabla ya kushupaza misuli wakitetea wizi. Nina wasiwasi pia na bodi ya shule ya Barbabo kama hawakuonja kidogo kabla ya kuandaa ule utetezi wa kipuuzi.
Ni imani yangu kuwa mh Rais atalivunjilia mbali baraza lote la mawaziri lenye watu kama dr Mwakyembe ambaye hajawahi kuona mwanasheria bora kama Werema na mama Ghasia ambaye hata kumpa ujumbe wa nyumba kumi ni kutowatendea haki hao raia 10 lakini leo eti naye ni waziri! Ee Mola mjalie hikima mja wako ili amnusuru mama yetu TANZANIA-AMEN.
 
Sakata LA ESCROW ni pressure na mzigo mkubwa kwa watz na athali zake ni nyingi! Jana serikali ya Marekani, nchi ambayo Raisi wetu anapenda sana kwenda, imesitisha msaada wake kwa Tanzania kisa ni ESCROW! Binafsi naamini kwamba kama tatizo hili lingekuwa limetatuliwa mapema baada ya bunge kuisha, na wahusika wa ubadhilifu kuchukuliwa hatua, tusingekoda msaada huu toka Marekani!

Lakini tujiulize kwa nini Ikuru au Jk ni kimya mpaka sasa?

Je ndio Busara ya kiutawala?
Je ni matokeo ya serikali dhaifu?
Je ni matokeo ya serikali kuwa na uwezo ndogo kufanya maamuzi magumu?
Je nikwa vile mkuu bado anauguza kidonda?
Au Je ni inamaana ni kweli Ikuru inausika katika mgao huu na hivyo kubabaika katika kufanya maamuzi?
Je ....?
Je ....?
 
Je,mwizi aweza kujihukumu mwenyewe? Hakuna msafi ikulu wote ni wale wale,wameigeuza ikulu kuwa pango la walanguzi
 
Back
Top Bottom