Balozi Juma Mwapachu, kuhusu kuchaguliwa kwa John Pombe Magufuli kuwa Rais wa JMT

Pumbavu sana wwe. Ufe na uendawazimu wako. Pumbavu usiyestahili hata kuitwa binadamu.

Sawa kabisa, umempa jibu stahiki kabisa. Majitu mengine humu ndani akili zao zinawasaidia kutolea uchafu mwilini tu
 

Attachments

  • 1446179659198.jpg
    1446179659198.jpg
    31.7 KB · Views: 62
We have monoparty system in the disguised multiparty system! This is benefiting local elites and some supper power countries. Tunachezewa akili tu.
 
Very very true. Huyu mchumia tumbo tangu lini akawa na maslahi mapana na taifa bwanaa !!!!!! Atuambie lea nini ATC haikuwahi ku shine na yeyes alikuwepo hapo kwa miaka kadhaaa. Au anafikiria kwamba wote hatukumbuki historia yake???

Mijitu minafiki kama hii binafsi huwa sipendi hata kuisikiliza ilipokuwa CCM Haikuwa inaona huo ubovu wa Katiba??LOWASSA ALIPIGA KURA YA NDIO KWA IBARA ZOTE ZA KATIBA YA CHENGE.Pumbaff
 
msemakweli

Funzo moja kubwa linalotokana na mchakato huu ni kuwa wakati watu wapo madarakani wasifanye maamuzi kwa maslahi ya kjndi dogo la watu (vyama) badala yake wazingatie maslahi ya umma. Sisi tulioko upinzank muda mrefu tumezoea kuonewa lakini hao waliokuja upinzani hivi karibuni walikuwz madarakani muda mrefu na ktk vyeo vilivyokuwa vikiwawezesha kufanya marekebisho ya katiba kidogo kidogo. Ikumbukwe kuwa madai ya katiba kimekuwa kilio cha wapinzani kwa zaidi ya miongo mitatu. Malipo ya dhambi ni hapa hapa duniani, kama ambavyo tumekuwa tukiumia kila chaguzi zinapopita nashukuru na wale ambao walikuwa walikwamisha upatikanaji katiba mpya na watapata hchungu ule ule tuliokuwa tukiupata. Aidha ni funzo pia kwa waliosalia huko ccm watambud kuwa katika siasa zz sasa hakuna makao ya kudumu

Watanabe


Point yako ni nzuri sana na wanasiasa wa pande zote wanalo la kujifunza. Kwa upande wa watawala nakubaliana nawe kwamba wakiwa huko wakumbuke kutengeza mazingira ao kutumia plan za B Mara plan A zinapofeli.

Lakini muhimu kwa upande wangu oppositions hawakufanya hesabu zao vizuri. Kulikuwa na opportunity ya kuiondoa ccm uchaguzi lakini hawakuiona because they wanted it all at once, walitaka kilakila kiwemo kitu kwenye katiba pendekezwa. Wakasahau kwamba uchaguzi ulikuwa around the corner na kwamba the priority ilikuwa ni tume huru na mambo yanayohusiana na uchaguzi.

Kimsingi ccm walikuwa wamejiingiza mtegoni, iliKuwa ni kwa upinzani kuiona opportunity hiyo ili kukamata dola kwanza kupitia Tume huru ya uchaguzi.

Ni lazima sasa tutambue kwamba adui mkubwa wa demokrasia Tanzania ni Tume ya uchaguzi and this shall be the priority now on.
 
Last edited by a moderator:
msemakweli

Funzo moja kubwa linalotokana na mchakato huu ni kuwa wakati watu wapo madarakani wasifanye maamuzi kwa maslahi ya kjndi dogo la watu (vyama) badala yake wazingatie maslahi ya umma. Sisi tulioko upinzank muda mrefu tumezoea kuonewa lakini hao waliokuja upinzani hivi karibuni walikuwz madarakani muda mrefu na ktk vyeo vilivyokuwa vikiwawezesha kufanya marekebisho ya katiba kidogo kidogo. Ikumbukwe kuwa madai ya katiba kimekuwa kilio cha wapinzani kwa zaidi ya miongo mitatu. Malipo ya dhambi ni hapa hapa duniani, kama ambavyo tumekuwa tukiumia kila chaguzi zinapopita nashukuru na wale ambao walikuwa walikwamisha upatikanaji katiba mpya na watapata hchungu ule ule tuliokuwa tukiupata. Aidha ni funzo pia kwa waliosalia huko ccm watambud kuwa katika siasa zz sasa hakuna makao ya kudumu.
Naunga mkono hoja, wakati wabunge walipokuwa wanapiga kura ya wazi au Siri kuhusu Katiba Mpya EL alitakiwa kupiga kura ya Wazi tena kwa Sauti Kubwa HAPANAAAAAAAAAAAAAAAAAAA. Nathani hakufanya hivyo !!!!!
 
Watanzania tulio wengi tumemchagua japo hajatuahidi katiba mpya.
Hujawai kumkubali kabla na wala si lazima umkubali sasa..usijipendekeze ewe mshikadau wa Wadokozi

Mliomchagua Magufuli ni nyie mnaoishi chini ya dola moja kwa siku.
 
Ndio Lowasa ni rais ila tofauti yake na Dr Magufuri ni kwamba Wakat Dr Magufuri ni RAIS wa Watanzania Yeye Lowasa ni rais wa malofa na wapumbavu.
typical ccm watu maskini wenye akili ndogo.
aya kajipongeze kwa ulichoandika
 
Ndio Lowasa ni rais ila tofauti yake na Dr Magufuri ni kwamba Wakat Dr Magufuri ni RAIS wa Watanzania wote yeye Lowasa ni rais wa malofa na wapumbavu.

Akili ndogo povu jingi......mtajenga kwel taifa kwa dizain hii?????? Am so wandazzzz
 
msemakweli

Funzo moja kubwa linalotokana na mchakato huu ni kuwa wakati watu wapo madarakani wasifanye maamuzi kwa maslahi ya kjndi dogo la watu (vyama) badala yake wazingatie maslahi ya umma. Sisi tulioko upinzank muda mrefu tumezoea kuonewa lakini hao waliokuja upinzani hivi karibuni walikuwz madarakani muda mrefu na ktk vyeo vilivyokuwa vikiwawezesha kufanya marekebisho ya katiba kidogo kidogo. Ikumbukwe kuwa madai ya katiba kimekuwa kilio cha wapinzani kwa zaidi ya miongo mitatu. Malipo ya dhambi ni hapa hapa duniani, kama ambavyo tumekuwa tukiumia kila chaguzi zinapopita nashukuru na wale ambao walikuwa walikwamisha upatikanaji katiba mpya na watapata hchungu ule ule tuliokuwa tukiupata. Aidha ni funzo pia kwa waliosalia huko ccm watambud kuwa katika siasa zz sasa hakuna makao ya kudumu.
kaka umemaliza, tatzo la nchi yetu ni unafiki na watu kujali matumbo yao, matatizo ya madai ya katiba hayajaanza leo hao kina mwapachu wamefanya nn kuhusu hii wkt wako kwenye system, leo wamenyolewa wao ndo wanajifanya kubwabwaja, wkt katiba ya Warioba ikichakachuliwa mbona hakuongea, utashangaa Kingunge naye atakuja kulalamika akisahau alivyotoa povu bungeni kupinga katiba pendekezwa, mm nashukuru atleasat na wenyewe wameonja jotola jiwe
, wamejua ni kwa kiasi gani wapinzani wamekuwa wakipata tabu na bila shaka watatuma massage kwa wenzao waliobaki kwamba wanachofanya sio
 
msemakweli

Funzo moja kubwa linalotokana na mchakato huu ni kuwa wakati watu wapo madarakani wasifanye maamuzi kwa maslahi ya kjndi dogo la watu (vyama) badala yake wazingatie maslahi ya umma. Sisi tulioko upinzank muda mrefu tumezoea kuonewa lakini hao waliokuja upinzani hivi karibuni walikuwz madarakani muda mrefu na ktk vyeo vilivyokuwa vikiwawezesha kufanya marekebisho ya katiba kidogo kidogo. Ikumbukwe kuwa madai ya katiba kimekuwa kilio cha wapinzani kwa zaidi ya miongo mitatu. Malipo ya dhambi ni hapa hapa duniani, kama ambavyo tumekuwa tukiumia kila chaguzi zinapopita nashukuru na wale ambao walikuwa walikwamisha upatikanaji katiba mpya na watapata hchungu ule ule tuliokuwa tukiupata. Aidha ni funzo pia kwa waliosalia huko ccm watambud kuwa katika siasa zz sasa hakuna makao ya kudumu.
kaka umemaliza, tatzo la nchi yetu ni unafiki na watu kujali matumbo yao, matatizo ya madai ya katiba hayajaanza leo hao kina mwapachu wamefanya nn kuhusu hii wkt wako kwenye system, leo wamenyolewa wao ndo wanajifanya kubwabwaja, wkt katiba ya Warioba ikichakachuliwa mbona hakuongea, utashangaa Kingunge naye atakuja kulalamika akisahau alivyotoa povu bungeni kupinga katiba pendekezwa, mm nashukuru atleasat na wenyewe wameonja jotola jiwe
, wamejua ni kwa kiasi gani wapinzani wamekuwa wakipata tabu na bila shaka watatuma massage kwa wenzao waliobaki kwamba wanachofanya sio
 
Back
Top Bottom