peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,829
- 21,460
Butiama,chato,masasi, monduli, Kamala, maalim ,kote huko Kuna wajane.
Si ndio hapo aliuliza "what is nkende?"😂. Nilihadithiwa miaka ya baadae. Ni ngedere walikuwa wanakula mazao kutokea misitu jirani.Alikuwa mtu wa kitengo huyu Mzee...
Kafia 'Mzena'
Sema Siku Moja kwenye kampeini zake hapo Kiziba, wananchi walimlilia kuwa tumbili au ngedele kama sijakosea jina la wale wanyama wanafanana na nyani lkn wanakula sana mahindi n.k
Wakamwambia Mhe. Huku tumbili/ngedele wanatusumbua sana tunaomba msaada wako na serikali.
Akawaambia nawashauli muwe mnawala! Mkikamata kama wawili watatu mkawala hamtawaona tena.
Nilijizuia kucheka kwasbabu... Lkn dah Leo ndo nacheka ahahahahhaha Toka halo hakupata Ubunge tena...nshomile wakamzingua ahahah
RIP mdogo wangu Kamala kyoma!
Nakukumbuka sana pale Sinza Kijiweni na hapo Victoria kwa Mzee Kingunge.....
Watu wa Kikwete hawa; mwaka huu mkwere ana kazi!Dah! ....Rip Ambassador..
Ikibisha hodi kwake ninaibuka na kifaa originalWatu wa Kikwete hawa; mwaka huu mkwere ana kazi!
Btw, Rwegasira yupo?.Huyu bwana hamna kitu alifanya jimboni, hata kulala walau usiku mmoja alikuwa hataki anajikuta busy sana. Akimaliza uchaguzi anaweza kanyaga jimboni mara tatu hivi kabla ya uchaguzi mwingine, ila siku anazolala uko hazifiki tano miaka mitano.
Alikuwa mpole, haongei, hasikilizi watu, hana muda wa kujua shida za wananchi anapita na V8 tinted mwanzo mwisho hata habari za kusalimia wapiga kura hana.
Mama yake alifariki mwaka jana mwanzoni hivi.
Nje ya siasa alikuwa mtu mzuri kiraia, kisiasa sidhani hata kwenye ubalozi na uwaziri alikuwa na mchango wa maana kitaifa.
Ndio nani mkuuBtw, Rwegasira yupo?.
Ndio, mzee wetu Joseph Rwegasira bado yupo hai. Kwa wasiomjua aliwahi kuwa waziri wetu wa mambo ya nje enzi za utawala wa mzee Mwinyi.Btw, Rwegasira yupo?.
Usije ukawa mix up na Bàngusilo?Mzee huyu suti zake zilikuwaga oversize hasa Makoti daah apumzike Kwa amani
Hahaha. Kila la kheri!Najitahidi niwe hata mjumbe
Ndo aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo nyuma ya Kamala.Ndio nani mkuu
Namkumbuka huyo mzee kipindi hicho akiimbiwa "Rwegasira nayera...."Ndio, mzee wetu Joseph Rwegasira bado yupo hai. Kwa wasiomjua aliwahi kuwa waziri wetu wa mambo ya nje enzi za utawala wa mzee Mwinyi.
Siwezi kamwe kumjua mkuu. Kamala anaanza kuwa mbunge ni 2000, sijui lolote la mwaka huo. Mara ya kwanza kusikia neno uchaguzi ni 2005 na penyewe nilijua ni aina ya harusi kubwa sana. Na Kikwete nilijua ni Bwana Harusi alafu Mkapa ni Askofu.Ndo aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo nyuma ya Kamala.
Ok kijana, digin amenijibu.Siwezi kamwe kumjua mkuu. Kamala anaanza kuwa mbunge ni 2000, sijui lolote la mwaka huo. Mara ya kwanza kusikia neno uchaguzi ni 2005 na penyewe nilijua ni aina ya harusi kubwa sana. Na Kikwete nilijua ni Bwana Harusi alafu Mkapa ni Askofu.