Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,581
- 6,675
Mchezaji mkorofi wa Manchester City,Mario Balotteli amefungiwa na chama cha soka Uingereza kucheza mechi nne baada ya kumpiga/kumchezea faulo mchezaji wa Tottenham Scot Parker. Uamuzi huo umefikiwa baada ya mwamuzi wa mchezo kurudia mkanda wa mchezo huo.. Mmoja wa viongozi wa Man City amesema bado hawajakutana ili kuzungumzia suala hlo na kuangalia namna ya kukata rufaa.
Source: www.soccernet.com
Source: www.soccernet.com