Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Sijasoma contents; lakini kwa kichwa cha habari: Ni KweliHi hii ni kweli..???
KWANI Africa inaliwa na wajinga, aah wapi, wote huwa ni wasomi waliobobea, wanakosa uzalendo, wanakosa huruma.haya yapo na jamaa inasemekana alikuwa kichwa...........ila alitumiwa kama chambo tu katika madili yote ya bot.............wahusika wapo ndio maana waliamua kumwondoa haraka asije akawataja maana yeye ndo alikuwa na siri za vigogo wote wakiwemo wakuu wa nchi............
Sijakutana naye mkubwaa........ila sijaamini kilichoandikwa kwa kuangalia kichwa cha habari....YAani Ngali ulivyoicapitalize nilijua umekutana naye mzee mzima viwanja lol
nasikiaga alikufa ila maiti haikuletwa na hadi leo sijawahi kuona hata picha ya kaburi la gavana wetu fisadi.Je balali bado yupo hai?
Hi hii ni kweli..???
Kunahaja gani kutuwekea attachment isiyosomeka? au tutoe maoni kwenye vichwa vya habari?
Pamoja na kwamba scan yako haionekani na kusomeka vizuri... Source ni RAI.. gazeti ambalo moja wa wamiliki/mmliki pekee ni Rostam Aziz...linaacha maswali mengi juu ya makala hii kama imekuja wakati muafaka wakati kila kesi ya ufisadi inamgusa kwa namna moja au nyingine. Lakini pia upo ukweli kwamba wakati wa uhai wake alipokuwa akifanya kazi Benki ya Dunia, Washington Marekani, akiwa mshauri wa masuala ya Uchumi alijijengea heshima katika maeneo yaliyotajwa.
hata hapa kwetu Tz pia uchumi uchumi wetu nao ulisimama vizuri. TATIZO: Mitandao ya UFISADI iliyoibuka na mafanikio hayo na yeye akaifagilia!!!!.
Je balali bado yupo hai?
Yeah, yupo hai, anakula maisha!Je balali bado yupo hai?
No, hayupo bongo, yupo South America!Kwa kiasi cha pesa kilichopita mikononi mwa huyu mheshimiwa nina uhakika kwamba hakufa ila amefanya cosmetic surgery na kutengeneza docs fake na si ajabu yupo ndani ya bongo ila watu hawajui. Amechukua billions nyingi sana tu.
nasikiaga alikufa ila maiti haikuletwa na hadi leo sijawahi kuona hata picha ya kaburi la gavana wetu fisadi.
Hapana,kaburi lipo marekani sema tu mwili wa marehemu Balali haukuagwa na watz ambao wako Amerika angalao wangewawkilisha wtz wengine. Hata balozi wetu Daraja aliogopa kivuli chake asije akahusushwa labda na ufisadi japo Richmond ilimtikisa kidogo
haisomekiHi hii ni kweli..???