Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
haisomeki
Kazi ya RA na mitambo yake ya New Habari Corporation Ltd. Ngoma ndo inaanza. Hadi kufikia kuapishwa kwa rais wa 5 wa Tz (Nov 2010) tutaona mengi sana!!
haisomeki
kaburi lipo marekani sema tu mwili wa marehemu Balali haukuagwa na watz ambao wako Amerika angalao wangewawkilisha wtz wengine. Hata balozi wetu Daraja aliogopa kivuli chake asije akahusushwa labda na ufisadi japo Richmond ilimtikisa kidogo